Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ushaanza....Sawa
Lema anaweza kupokea Mlungula!
Rubbish tetesiManeno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Harakati zinaendelea...Imeitoa wapi hii!!!??
Rubbish kwa sababu gani. Jenga hoja.Rubbish tetesi
πππUshaanza....
Kunywa Whisky zako utulie... ππππ
Acha utani bhana π4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
Emanates from Chawa propagandistsRubbish kwa sababu gani. Jenga hoja.
Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Kwenye watu "wake" wanaona anafaa.Chadema Makini sana, kinaweza mtumia Mdude kwa uwezo wake, ila kumpa nafsi kubwa hivyo sio rahisi, kaa na tetesi zako.
Kwenye watu "wake" wanaona anafaa.
Mimi naziona na kuzisikia hizo harakati.
Yani Lema ndio awe makamo mwenyekiti kabisa yani chama hakina watu kabisa kabisa πππππ ukiacha kuropoka Lema ana chanini cha ziada kuwa mwenyekiti? Elimu yake?Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Kwanza jua mimi ni mwanachadema tena Verified User.Utakuwa mbea kama utasikia mambo ya watu hujayathibisha unayasema, hivyo vijiwe vya msimbazi ni vya kuvunja.
Hakuna mwenye busara hata mmoja!Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo
Hii ni safu ya "mapigo na Mwendo"Hakuna mwenye busara hata mmoja!