Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Tunatoa chuma tunaweka Chuma.Kwani amejiweka ama amechaguliwa!!??
Kwa nini mnapotosha uwepo wa Mbowe madarakani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatoa chuma tunaweka Chuma.Kwani amejiweka ama amechaguliwa!!??
Kwa nini mnapotosha uwepo wa Mbowe madarakani...
Kama familia yako Pekee ndio inasmuch nani ashike dola nchi hii sawa lakin kinyume chake jiandaen kupiga deki kwenye makorido ya lumumba.Poa tu. napo huku kwengine
Raisi wa JMT atakuwa Mwenyekiti wa CCM
Makonda Makamu Mwenyekiti na Waziri Mguu
Katibu H.Polepole.
...CHADEMA dola mpaka 2050.
Hata ningekuwa mimi ,cdm ni kampuni binafsiMbowe hawezi kuachia kiti
Mhh.Kama familia yako Pekee ndio inasmuch nani ashike dola nchi hii sawa lakin kinyume chake jiandaen kupiga deki kwenye makorido ya lumumba.
Ccm mnapenda watu kama haoSawa
Lema anaweza kupokea Mlungula!
Mkuu Mnyika aende wapi?.Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Ana ujuzi wa wizi wa magari wa kiwango cha PhD.Lema d
Lema si ni wa darasa la saba?
Akamalizie elimu. Aliacha chuo akiwa mwaka wa tatu akakimbilia ubunge.Mkuu Mnyika aende wapi?.
Walioupande wa mafisi tu ndio kwao mlungula kama uji na mgonjwa,dripsu na mgonjwa ila sii chama makini chama pendwa la watanzaniaSawa
Lema anaweza kupokea Mlungula!
Maleno si ndio Lema mwenyeweKwani Molemo yeye anasemaje kwenye hili.
Hata kama ingekuwa ipo chembe ya ukweli,ni bora mara elfu kumi kuliko lile la wala kwa urefu wa kamba🤣Duu mbona safu yote imejaa wavuta bangi na watu waliojaa uropokaji, ukurupukaji na mihemuko? Hao wote hawana uwezo wa kuongoza chama hasa kwa kuzingatia chama kimejaa vijana waliozibuka akili na waliokosa breki ya midomo na muunganiko mzuri wa akili na midomo yao.
Kwa hakika chama kitakwenda kihuni kihuni zaidi ya hivi kilivyo sasa.
Chama cha wachaga hiko, Mwenyekiti lazma awe wao.Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Kwa ivo Heche na Sugu ni wachaga??Chama cha wachaga hiko, Mwenyekiti lazma awe wao.
Hawa ni wanatumika tu na siku wakijitambua lazima watatimua kama wale ambao hawakuwa wachaga walivyotimuka baada ya kugundua kuwa cdm ni mali ya mbowe na famila yake.Angalia anavyomweke mbele mpuuzi kama Lema kwa kuwa tu ni mchagga mwenzieKwa ivo Heche na Sugu ni wachaga??
Hii ni propaganda ya kishamba sana na ya kizamani.
Mbowe apewe mara ya mwishoManeno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Acha hoja zinazokufananisha na wasio na akili!!Hawa ni wanatumika tu na siku wakijitambua lazima watatimua kama wale ambao hawakuwa wachaga walivyotimuka baada ya kugundua kuwa cdm ni mali ya mbowe na famila yake.Angalia anavyomweke mbele mpuuzi kama Lema kwa kuwa tu ni mchagga mwenzie