nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Trust me hao wanatumika tu, hata wewe unatumika ila mtakuja kugundua kumekucha...Kwa ivo Heche na Sugu ni wachaga??
Hii ni propaganda ya kishamba sana na ya kizamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trust me hao wanatumika tu, hata wewe unatumika ila mtakuja kugundua kumekucha...Kwa ivo Heche na Sugu ni wachaga??
Hii ni propaganda ya kishamba sana na ya kizamani.
Usiwasanue.Hawa ni wanatumika tu na siku wakijitambua lazima watatimua kama wale ambao hawakuwa wachaga walivyotimuka baada ya kugundua kuwa cdm ni mali ya mbowe na famila yake.Angalia anavyomweke mbele mpuuzi kama Lema kwa kuwa tu ni mchagga mwenzie
Nani anayetutumia.Trust me hao wanatumika tu, hata wewe unatumika ila mtakuja kugundua kumekucha...
Mdude huyu boga la Uyole Sokoni?Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
CCM hakuna upuuzi wa kikabila...Nani anayetutumia.
Na wachaga walioko CCM wanatumiwa na nani. Ni kwa nini wasiende kwenye chama chao cha wachaga??
Unaonekana mgeni huko...Nani anayetutumia.
Na wachaga walioko CCM wanatumiwa na nani. Ni kwa nini wasiende kwenye chama chao cha wachaga??
Hivi unajielewa wewe!!??CCM hakuna upuuzi wa kikabila...
Chama kina mizizi kila sehemu ndani ya nchi hii...
Umemsoma Chacha?Hivi unajielewa wewe!!??
Msigwa ni mchaga?
Yaani kwa kuwa mbowe ni Mchaga basi chama kimeshakuwa ni cha kichaga.
CCM kamati Kuu yake ina waislam karibia asilimia 75, je ni chama cha kiislam??
zama za Chacha wangwe nilikuwepo.Unaonekana mgeni huko...
Msome kamanda mwenzako Chacha Wangwe.
Hahaha sawa...zama za Chacha wangwe nilikuwepo.
Umemezeshwa propaganda na umezikariri kama ni msahafu kwako.
Ulimwelewa kuhusu nini??Hahaha sawa...
Nami nilikuweko huko...
Nafikiri nilimuelewa zaidi Chacha.
Tuyaache, endelea na mada yako mkuu.Ulimwelewa kuhusu nini??
Marekebisho Mwenyekiti Lissu Katibu mkuu MSIYEMTAKA Kamanda MBOWEManeno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Chama kina-Rest In Peace ✌️1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
Huna unachojua wewe!!Tuyaache, endelea na mada yako mkuu.
Mnyika ni zao la siasa majadiliano apumzike au abadilike staili ya kaka ake mbowe.Mkuu Mnyika aende wapi?.
Sawa sawa.Huna unachojua wewe!!
Ngoja Makamanda wenzako waje wakuparue kwa kuliacha jina la Kamanda wako mkuu Freeman Aikael Mbowe.Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Style ya kaka yake Mbowe ni ipi?.Mnyika ni zao la siasa majadiliano apumzike au abadilike staili ya kaka ake mbowe.
Lisu ,lema na heche style Yao itafanya CCM kugeukia kibra mapema
Wananchi wako tayari na wanakosa mtu wa kuwapushi Ili lundo wauwawe na poLccm Ili CCM iisome namba