Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandela alilazimishwa lakini Winnie Mandela alishindwa kuvumilia.Anavumilia kama Mandela alivyokuwa anavumilia...
Ni kweli. Watu wa Arusha tunamjua enzi mpinzani wake ni Felix Mrema wa CCM. Hata 2010 kwa Batilda Buriani aliandamwa na hiyo kashfa.Sawa
Lema anaweza kupokea Mlungula!
Tundu Lissu asijaribu kuonja sumu. Uenyekiti ni mali halali ya Mbowe. Hawezi kumwachia mtu. Labda wabadili katiba wawe na ile nafasi kama ya ACT ya kiongozi mkuu wa chama.Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Mdude awe kiongozi, chama gani hicho, huyo anafaa uanaharakati.Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Kichekesho kingine Lisutundu matusi yote hayo hotuba zake kukashifu na kutukana tu, hamna kitu hapo.Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Aende wapi? Yule kala kiapo pale for good or Death i will stay mwenyekiti.Mbowe hamtaki tena hahaha
Bosi wa nani??Ngoja Mkamanda wenzako waje wakuparue kwa kuliacha jina la Kamanda wako mkuu Freeman Aikael Mbowe.
Halafu mbona hujamuweka Bosi wako Mchungaji Peter Msigwa kwenye huo uongozi mpya?
Usipende kuwa zwazwa hiyo ni tabia ya chawa!!Aende wapi? Yule kala kiapo pale for good or Death i will stay mwenyekiti.
Hao waache waendelee kujifurahisha tu.
Chama cha mkwewe
Nani awe chawa we bi kidawa unawashwa?Usipende kuwa zwazwa hiyo ni tabia ya chawa!!
Hiyo namba 4 umemtupa jongoo na kijitiManeno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
hawawezi hao wamezoea matusi na kebehiRubbish kwa sababu gani. Jenga hoja.
Diplomasia weka kule.Hiyo safu uhuru mapema asubuhi.....NGINJANGIJA