Lema si ni wa darasa la saba?Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Huyu lema anaejiita yeye ni mchagga na hagombanii ubunge wa ajili ya ajiri bali ni kwa ajili ya wito πββοΈπββοΈπββοΈHakuna mwenye busara hata mmoja!
Watagawana mbao hao!Hii ni safu ya "mapigo na Mwendo"
Pesa mbele!Huyu lema anaejiita yeye ni mchagga na hagombanii ubunge wa ajili ya ajiri bali ni kwa ajili ya wito πββοΈπββοΈπββοΈ
Kama msukuma tu...Lema si ni wa darasa la saba?
Alishaendaga CANADA na kaache mke kule ambae sio mzee kivile sasa sijui kule anawezaje kuvumilia aiseeYani Lema ndio awe makamo mwenyekiti kabisa yani chama hakina watu kabisa kabisa πππππ ukiacha kuropoka Lema ana chanini cha ziada kuwa mwenyekiti? Elimu yake?
Anavumilia kama Mandela alivyokuwa anavumilia...Alishaendaga CANADA na kaache mke kule ambae sio mzee kivile sasa sijui kule anawezaje kuvumilia aisee
Soma gazeti ya Nipashe leo kasema dola 6000 wanazolipwa wabunge kwake si chochote ni hela kidogo saaanaPesa mbele!
Basi mmpeni jina la MandelaAnavumilia kama Mandela alivyokuwa anavumilia...
CHADEMA (Chagga Development Manifesto)Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Una propaganda za kizamani sana wewe...CHADEMA (Chagga Development Manifesto)
Kama Mwenyekiti siyo Mchagga BAKI NA UTOPOLO WAKO
Maneno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Yani Lema ndio awe makamo mwenyekiti kabisa yani chama hakina watu kabisa kabisa πππππ ukiacha kuropoka Lema ana chanini cha ziada kuwa mwenyekiti? Elimu yake?
Lema ni Mkurupukaji Sana hafai kua makamuManeno yasiwe Mengi.
1. Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
2. Makamu Mwenyekiti Tanganyika - Godbless Lema
3.. Katibu Mkuu - John Heche
4. Naibu Katibu Mkuu Tanganyika - Mdude Nyangali
5. Nafasi za Zanzibar zinabakia kama zilivyo.
Hakuna mwenye busara hata mmoja hapo, chama kitawashinda...
Kwanza muulize nchi hii imewahi lini kuibiwa na watu wa darasa la saba!!??Kwa Hawa viongozi tulionao chama tawala, nitajie ambae Elimu yake imewahi kutusaidia.
Kwani amejiweka ama amechaguliwa!!??Mbowe hawezi kuachia kiti
Lema ni kiboko ya mashoga ya ccm no mabashite.Sawa
Lema anaweza kupokea Mlungula!