Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Kabla sijaendelea, una uhakika siijui Puturu vizuri na ufanyaji kazi wake?

Unajua ganzi ni nini hasa?

Jinsi gani Vumbi la kongo inafanya kazi?

Vumbi la Kongo maarufu Puturu inapakwa au kutiwa katika kichwa cha uume muda mfupi kabla ya kusex. Puturu inachofanya ni kuzuia KABISA bloodflow au mzunguko wa damu kufika katika mishipa ya kichwa cha uume.

Imagine uzuie tu damu kufika katika kidole completely hata kwa nusu saa...sembuse katika uume kwa masaa manne??? Kumbuka uume ni kiungo chenye asili ya kuwa na damu nyingi haswa inaposimama.

Wewe subiri tu miaka michache tu ijayo utasikia madhara yake.
Vipi mtu anapotahiriwa na kupigwa ganzi la 3 hrs?
 
Naona watu wanafanya argument za kibiologia kihisia hisia. Yaani mtu anakomaa na kushindwa kutofautisha kati ya cardiovascular system na nervous system. Ingekuwa kufa ganzi ni kutokuzunguka kwa damu basi unapopigwa nusu kaputi wakati uanafanyiwa operation basi damu ingesimama?
Dadavua basi mzee baba
 
Iyo show mi niweza piga mara mbili yako bila ya kutumia chochote.
 
Vumbi la Kongo halikufanyi usimamishe bali linakupa ganzi
Na kama huna nguvu za kiume za kawaida,vumbi la kongo halita kusaidia hata kidogo,mfano labda mtu mwenye kisukari vumbi la congo halitamsaidia kabisa ila viagra,electro zitamsaidia sababu hawezi kusimamisha

vumbi la kongo inatakiwa uwe unaweza kusimamisha kwanza ndio mambo mengine yafuate baadae
 
Hebu niweke sawa.

Mechanism ya uume kusimama ni damu kujaa kwenye uume, damu ikizuiwa uume utasimamaje?

Pia kumwaga hakuna uhusiano na damu kupita na kuingia kwenye uume. Kumwaga ni hisia zaidi.

Kwangu mimi nikiambiwa hilo vumbi linaziharibu nerves nitaamini kwa 57% nikiambiwa vumbi linazuia damu nitaamini kwa 8%
Hujawahi kuniangusha baunsa
 
Wanaume wa dar, kaz ndogo ivo mpaka utie mavumbi...
Nawashangaa sana badala ya kufanya mazoezi et yanajiuwa kwa puturu...mimi hiyo kitu naisikia tu na wala sitataka kuijaribu maana kama nikumfikisha mtu kileleni namfikisha vizuri tu na vilio juu kwa utamu anaoupata. Nimegundua mazoezi na kuacha kujichua ndo suluhisho pekee la heshima ya ndoa.
 
Machifu gani hao tofautisha misosi ya zamani na ulaji wa sasa hivi. Humu mjini Hilo ni janga tuulize sisi wanawake ndo tuwaambje
Wee unafikiri hizo dawa za wamasai wanazitoa wapi? Kama sio wameridhi kwa mababu wa enzi hizo waliozigundua, haya madawa yapo vizazi na vizazi, lishe na mazoezi ni nzuri kwa wale gemu 3 hadi 4 kwa wiki, lkn kwa gemu za kila siku kwa wale wenye wake wengi lazima watumie na walikua wananywea kwenye chai kila siku.
 
Hivi bia nazo zinaongeza nguvu?
Mi nikinywa bia 2 tu naona mateso kwenye kugegeda sijui kwanini.
 
Mkuu unachokiongea hakiwezekani kabisa..
Ukikata blood supply kwenye organ yoyote hata saa moja haiishi cell death inaanza kutokea.

Vumbi la kongo linafanya kazi ya kutia ganzi kwenye ngozi na sio kukata blood supply.

Kwanza ili penis i erect inahitaji blood sasa ukikata blood supply inaanzaje kusimama??

Tofautisha vumbi la congo na dawa kama sildenalfil
Mkuu hapana, huenda jamaa akawa sahih because mnaita liremba sijui ...mnajifunga kweny uume for a while, sasa inawezekana Ile dawa ili ilete ganzi lazima iingie ndani kupitia vitundu vidog vya ngozi brother!!!! Sababu haupaki tu, nasikia unajifunga kabisa alaf huku unaendelea na shughuli zingine kabisa sasa kwa nini isikuathiri mpaka kwenye mishipa ya damu? Watu wa aina yenu ndio mnasababisha wanawake waone kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kumbe sio kweli, coz huy demu akakutana na jamaa anaenda dk 10_15 bas atajua ana upungufu, kumbe wewe ulitumia dawa .....!!!! Na vijana wengi hutumia hii kwa madem walio hustle kuwapata lkn madhara yake ni ya mda mrefu sana.... for both sex tena psychologically..... inawezekana kabisa ikiwa na madhara ndugu!!!!
 
Yaani kwa uchovu wote huo wa wa saa kumi na mbili jioni hadi saa tano usiku umempa elf 20 tuu!!!!!!

Money is not everything but that's not fair.... Japo pia hakuwa anauza.

Anyways am not concerned.

Huyo dada atakuwa anajutia sana kuipokea hiyo elfu 20, anatamani bora angemrudishia ijulikane kaliwa bure tu!
Angepata mshauri angemrushia mleta Mada Kwenye simu yake !
Yani kudanga ni shida!
Wanawake wanadhalilika sana halafu swala Kama Hilo Mtu hawezi kwenda kushtaki popote maana anaona atakuwa anajichoresha yeye mwenyewe!
Ndo maana wadada wengine unakuta wamejaa matusi wakati wote hasa Insta huko kwaajili ya kutendwa!
 
Wanaume wa mikoani tumekaa pemben tunawachora wa dar wanavyohangaika na vishoo uchwara vya vumbi la kongo
 
Back
Top Bottom