Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Siipendi hiyo tabia hebu...mri..onye mara mojaHuko uchochoroni anataka kwenda kukufanyaje?🙆🙆🙆🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siipendi hiyo tabia hebu...mri..onye mara mojaHuko uchochoroni anataka kwenda kukufanyaje?🙆🙆🙆🙆
Nasemaje?
Huyo mwamba bado utampa tena na tena.
Mwanaume ndie binadamu hatari😂😂😂
Shimba ya Buyenze jazia
Wanapelekewaje kama sio wazuri😁Wasukuma sio watu wazuri
Cc Shimba ya Buyenze
Alikukimbia huyo jamaa maana una mdomo ujueKama alivyo mama yako tu
Hatuuziani kituBro mnauziana nini tena?
Mpelekaji hakujua ndo tatizo lilipoanziaWanapelekewaje kama sio wazuri😁
Mbona alisha sema sema kivile wewe ni kunguni ndio maana unamdomo mchafuUngekua na akili ungestuka pale pale alipokupeleka hotelini.
Mwenzio ana familia ndio maana hakutokea, alikua anakesi ya kulala nje.
Halafu wewe? Tangu lini mwanamke akafunga safari ndefu kumfuata mwanaume?
Wanaume ndio hufuata wanawake. Au labda alikuona cheap sana.
Ingawa niliambiwa ni ke, bado naamini ni meDelivery mikoani imekua changamoto! Wateja sio waaminifu
Napenda sana kamanda anayeelewa maelekezo haraka...nakuongezea rank afande😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeelewa mkuu
GPS ilipwayaMpelekaji hakujua ndo tatizo lilipoanzia