Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo inaitwa kupatwa...Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Nikisema full story hapa kama yupo humu itakuwa vibaya ila mpaka kesho anataman nijibu simu yake ila nimeipotezeaHuduma yako Haikumridhisha kama alivyo Tarajia,
That, why akaona isiwe Kero, Akasepa zake,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kama simu yake ilizima chaji au Bize, Hotel anaijua Angekuja tu...
nilikua natafuta comment yako 😊😊😊😂😂😂
Kama ni mume wa mtu ulitarajia utakaa nae wiki hapo? Afu wewe unakaa Dar yeye Mwanza unafikiri huko Mwanza hana mtu?
Anyway
Unajiuza bei gani?Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Aibu sana Mtanzania kujiuza.Lakin hatujiuzi kama wewe unavyo uza matako yako ukiyaatikisa na kujishika kiuno
sema chochote wizzle 😃😊🤗
ebu sema unaweza shawishi na sie tukatuma nauli na ya kutolea, tunalipia hotel kabisa kwa mda wote utao kuwepo na ticket ya kwenda na kurudi.. ebu simulia sasaNikisema full story hapa kama yupo humu itakuwa vibaya ila mpaka kesho anataman nijibu simu yake ila nimeipotezea
Mimi ni ngosha.Mjinga wewe 😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu nimenena uongo?Mkuu tujitahidi kuvalisha maneno NGUO BOSS[emoji23]
Cha mjinga huliwa na mwelevuIlikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] RIP MOMIla mama yako anauza kwa wahindi
Tupe bei basi...Shida yako umezoea kununua malaya
Acha povu mkuu. Umeleta uzi tuchangie. Hauta ubadili ukweli kuwa ULILIWA NA KUACHWA LODGE. Tulia dawa inatafuta ugonjwaBwa lipo kwa mama yako na dada zako waulize vizur
Leejay49 🤗ninalo basi wizo🤣🤣👋sema chochote wizzle 😃😊🤗