usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Per night πkwa laki moko tu ya kitiziii π π π π malipo ni hapa hapa duniani kunwa mwana itakuwa aliwahi mtia hasara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Per night πkwa laki moko tu ya kitiziii π π π π malipo ni hapa hapa duniani kunwa mwana itakuwa aliwahi mtia hasara
Napataga maumivu sana kila nikiona pele linampata mwenye hana kucha...π€£Kuna point ambayo wanaume huwa tukifikia tuna sema...ngoja nifanye kweli kulinda heshima
Ngalikihinja
Ushimen
Shimba ya Buyenze
Mnasemaje wakuu?? ππ
Sawa shida ni time ila hizo nazo ni factor zilizochangia akutelekeze huko hotelini dada ila pole sanaHayo ya kuwa na mtu wala sio shida ila shida time
Mkuu, nimekucheck PM...πKo unataka kusemaje yaani ππhebu tulia wewe soon utaniita shemeji nyau wewe
Naona kama Niko hapaMm napenda mwanaume awe na sauti mzuri yaan mwanaume fulani hivi anaongea kivivu
inabidi akacheki na afya π π π anaweza kulwa alikula laki moko na kuunganishwa kwenye grid ya taifa.. kwa usiku mmokoPer night π
Bro....vyungu hufwatwa kwa mfinyazi ohooNapataga maumivu sana kila nikiona pele linampata mwenye hana kucha...π€£
Mkuu bahati haikuji twice...π
Kumbe wewe Changu!Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Pole sana. Sababu ya huyo jamaa kukutelekeza, ilikuwa iko wazi kabisa.Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Wewe FURUSHI tuliaπ€£π€£π€£Napataga maumivu sana kila nikiona pele linampata mwenye hana kucha...π€£
Mkuu bahati haikuji twice...π
Jamaa alikua anataka kupita njia auSawa shida ni time ila hizo nazo ni factor zilizochangia akutelekeze huko hotelini dada ila pole sana
Umepata wapi kibali cha kuniita nyau?Ko unataka kusemaje yaani ππhebu tulia wewe soon utaniita shemeji nyau wewe
ππππinabidi akacheki na afya π π π anaweza kulwa alikula laki moko na kuunganishwa kwenye grid ya taifa.. kwa usiku mmoko
KwendraaaaUmepata wapi kibali cha kuniita nyau?
Nyau ni code muhimu
Ukiona naitwa nyau maana yake..
Mpenzi wanguππ
πππππππMkuu, nimekucheck PM...π
Cuba wanaelewa misemo hii...wanajua tayari saa ya mloπKwendraaaa