Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Ndio maana minasemaga skuuzi jf imejaa mavijana ya hovyo sana. Hiyo comment yangu umebeba mbadala wa mawazo ya vijana wengi.
Yaani Jf yetu ilikua poa sana, na kilakitu kilukua kimyakimya....😜
Kimya kimya mbuyu chini🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi machozii.
Unamfuata mtu kwao tena mwanza kutoka Dar?? Udugu unayawezaa kwa kweli Lol.
Acha tu udugu wangu nimekoma
 
Lakini wana Mwanza tumeonyesha ukatili ulio changamka sana. Najua hatutapata mgeni tena...😛
Kabisa na hamustahili mgeni mwingine 😂
Japokua nmekua hapo last month
Mm mgeni wangu alinipokea vizuri jaman
Kwa siku 3 sikujuta...Ila kawaida baadhi ya makosa hayakosekan😂😂
 
Uzuri wake tulianza onana face kwa face soma vizuri uelewe
Mi najifurahisha tu mpendwa usinichukulie siriazi.

Itoshe tu kusema huyo ngosha mwenzetu alizingua. Sasa usingekuwa na pesa za kulipia hizo siku tatu ulizokaa hapo ingekuwaje? Hata kama alikuta yaliyopaswa kuwemo hayamo, hakupaswa kufanya hivyo. Angalau angelipia hiyo huduma ya usiku mmoja ndiyo atokomee zake. Pole sana!
 
Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo

Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana

Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa

Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Ukome wasukuma hatutaki watumia mikorogo
 
Back
Top Bottom