Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ulikamia mechi sana😂😂😂 atakama alinipa vzr ila kunikumbia ilikuwa sababu ya yeye kuachwa mazima sina haja nae
Umekuwa labaratory?Si ndo apo anakukosea heshima kabisa yaani mtoto mzuri kama ww kweli uwe malaya
Achana nao washamba wa mwanza, njoo huku iringa sis tuna mapenz ya dhati tena wngine tuko virgin [emoji23]
Yaani ss watu wa iringa hatuna mbamba, tuko true love, nijaribu uone [emoji4]
Uweeeeeeeeeeeeee..!! Bantu Lady akiamuaga kufanya hiyana utakimbia..!!Usimsumbue Bantu Lady hana hiyana kama hizi za Amehlo
Laboratory tena hii imekaaje tena [emoji28]Umekuwa labaratory?
Bantu Lady jitetee mwenyeweUweeeeeeeeeeeeee..!! Bantu Lady akiamuaga kufanya hiyana utakimbia..!!
Ndio maana minasemaga skuuzi jf imejaa mavijana ya hovyo sana. Hiyo comment yangu umebeba mbadala wa mawazo ya vijana wengi.Ndio ulimfanyia binti wa watu ukatili huu?
Wakati unamwita ulisahau kuwa umeoa?
Kuna wakati binadamu tumejaa ukatili sana...najua sio wewe lkn
Naunga mkono hojaTabasamu linaashiria ulipewa vizuri kasoro ulikimbiwa[emoji1787]
Kwahiyo unawachukia Wanaume wa Mikoani kwa kutokuwa na Hela au kwa kutokujua Kutomba?Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Kumbe tunaelewana uko vzuri, ndo maana nikasema ww mzuri kuanzia ndani mpaka nje na kwenye head una function properlySi umesama nikujaribu wewe
Tuliosoma Cuba tumekuelewa bosi ... halafu pengine pia aliyodhani kuwa yamo hayakuwamo ngosha akaona isiwe tabu 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Mtoa mada pole Sana
Sikuzote mwonekano wa nje
Ni tofaut na mwonekano wa ndani
Alivotarajia ungekua,
hukua kama alivokukuta
Wanaume wengi Ni wahanga wa hili janga
Mliowahi kulazwa mzena MSHANIELEWA[emoji4]