Uchangu huoIla wewe upigi mswaki mpaka mtendaji wa mtaa apite ndio maana domo linanuka kama choo cha soko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchangu huoIla wewe upigi mswaki mpaka mtendaji wa mtaa apite ndio maana domo linanuka kama choo cha soko
Una tumajibu twa kejeli kejeli na tumatusi twa chini chini. Pengine hutu ndo tunakuponzaga sometimes mpaka unakimbiwa. Achana nato bana. Pisi kali haipaswi kuwa na dharau na matusi tusi 😁Hasa kama wewe
Uwe mkweli tu, ww unajiuza. Tujue bei ili tuje kupata huduma fasta. Miezi ya baridi inakuja, unaweza kutufaa zmsana!Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Laki moja!? Alijitahidi saana... Kwahyo unalalamika nn!? Kukimbia gharama au hukutosheka na huduma ya usiku mmoja!??Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo
Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana
Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa
Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi
Yaah mzuri ya dada ako ndio maana aliniibua mumeLaki moja!? Alijitahidi saana... Kwahyo unalalamika nn!? Kukimbia gharama au hukutosheka na huduma ya usiku mmoja!??
Any way, huenda huduma yako haikuwa mzuri saana akaona haina haja.
Acha nibaki na mdomo mchafu lkn ujue uliingizwa kingi kindezi ndezi.Mbona alisha sema sema kivile wewe ni kunguni ndio maana unamdomo mchafu
Alafu nakuhisi kitu, Kuna uzi mmoja hivi pia uliandika kuhusu kutoridhika na huduma ya njema uliyekutana nae insta, leo unaleta hi.. inawezekana wewe ndo huduma yako mbovuuuuuu.Yaah mzuri ya dada ako ndio maana aliniibua mume
😁😁😁Ngoja ninyamazeKimya bablai🤪🤪🤪🤪
Kumbe ndio maana ukaachwa kwenye mataa upambane na hali yako. Nani angevumilia mdomo mchafu kama huu! Hata hivyo mkaka wa watu muungwana sana mpaka kakuachia na laki kabisa na bado hushukuru!! Duh..,.. Mie ningekuachia deni zima ukomaenalo mwenyewe, na asali nishapakua! Hahahaha.....Kwani mama ako aliacha kujiuza? Maana anasifiwa kwa huduma
Bro hyo ni keIngawa niliambiwa ni ke, bado naamini ni me
Pisi kali ya wapi ndugu, pisi mbovu tu hii! Angekuwa pisi kali jamaa angeendelea kufaidi na wala asingekimbia! Pisi kali haijiuzagi. Inafuatwa, haijipeleki kudanga!Una tumajibu twa kejeli kejeli na tumatusi twa chini chini. Pengine hutu ndo tunakuponzaga sometimes mpaka unakimbiwa. Achana nato bana. Pisi kali haipaswi kuwa na dharau na matusi tusi [emoji16]
Yaan mamkwe awe mzur afu ajilengeshe mi nimwache? Kama kaka Mshana Jr alimshikisha ukuta mkwe wake Mimi ni nani nimwache salama?Usifosi kichwa cha chini akina inongo utakuja kulala na mama mkwe wako
Ahahajidanganye jang mjibu hyoKumbe ndio maana ukaachwa kwenye mataa upambane na hali yako. Nani angevumilia mdomo mchafu kama huu! Hata hivyo mkaka wa watu muungwana sana mpaka kakuachia na laki kabisa na bado hushukuru!! Duh..,.. Mie ningekuachia deni zima ukomaenalo mwenyewe, na asali nishapakua! Hahahaha.....
Badilika, vinginevyo utabaki mteja wa matango!!?
Ahahahah badolika wewe kwakupenda msererko na mtoto wakiumeeKumbe ndio maana ukaachwa kwenye mataa upambane na hali yako. Nani angevumilia mdomo mchafu kama huu! Hata hivyo mkaka wa watu muungwana sana mpaka kakuachia na laki kabisa na bado hushukuru!! Duh..,.. Mie ningekuachia deni zima ukomaenalo mwenyewe, na asali nishapakua! Hahahaha.....
Badilika, vinginevyo utabaki mteja wa matango!!?