Siipendi hiyo tabia hebu...mri..onye mara mojaHuko uchochoroni anataka kwenda kukufanyaje?ππππ
Nasemaje?
Huyo mwamba bado utampa tena na tena.
Mwanaume ndie binadamu hatariπππ
Shimba ya Buyenze jazia
Wanapelekewaje kama sio wazuriπWasukuma sio watu wazuri
Cc Shimba ya Buyenze
Alikukimbia huyo jamaa maana una mdomo ujueKama alivyo mama yako tu
Hatuuziani kituBro mnauziana nini tena?
Mpelekaji hakujua ndo tatizo lilipoanziaWanapelekewaje kama sio wazuriπ
Mbona alisha sema sema kivile wewe ni kunguni ndio maana unamdomo mchafuUngekua na akili ungestuka pale pale alipokupeleka hotelini.
Mwenzio ana familia ndio maana hakutokea, alikua anakesi ya kulala nje.
Halafu wewe? Tangu lini mwanamke akafunga safari ndefu kumfuata mwanaume?
Wanaume ndio hufuata wanawake. Au labda alikuona cheap sana.
Ingawa niliambiwa ni ke, bado naamini ni meDelivery mikoani imekua changamoto! Wateja sio waaminifu
Napenda sana kamanda anayeelewa maelekezo haraka...nakuongezea rank afandeπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeelewa mkuu
GPS ilipwayaMpelekaji hakujua ndo tatizo lilipoanzia