Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Mtoa mada pole Sana

Sikuzote mwonekano wa nje
Ni tofaut na mwonekano wa ndani

Alivotarajia ungekua,
hukua kama alivokukuta

Wanaume wengi Ni wahanga wa hili janga

Mliowahi kulazwa mzena MSHANIELEWA[emoji4]
Uko sahihi baba j hili ndio likimkuta ngosha
 
Ulimfuata aliyeko kwenye ndoa ukipiga simu yupo na baby wake...
 
Watu mna mambo, wengine tunahangaika na uchakarikaji wengine mnahangaika kusafiri kuzifuata mikoani.

Pole sana, naamini umepata funzo.
 
Niwe wa kwanza kukutakia HBD saa chache zinazokuja. Nilitaka nije DM lkn mi mdomo zege,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…