Au ndio hio laki mojaJiongeze mkuu
Kwanza ungempongeza, nimependa alivyovalisha maneno nguoπ€£π€£π€£Shida unatumia kichwa cha chini kuwaza
Kuna mazingira natumia kichwa Cha juu lkn humu haina haja ya kuumiza seli za ubongo wangu kuhakiki kazi ya fasihi nipate ujumbe cjui maudhuiShida unatumia kichwa cha chini kuwaza
Nikisema full story hapa kama yupo humu itakuwa vibaya ila mpaka kesho anataman nijibu simu yake ila nimeipotezea
Cha kumshauri siku nyingine akipata mwingine asikubali kwenda mpaka ahakikishe Tigbima imelipwa,na ahakikishe muamala umesomeka kwenye Tigo sms..........by the way pole yake alikutana na muhuni wa dunia
Kuna mstari mwembamba sana Kati ya ua maalum na bandama75Huu ndio uwasiloshaji uliovalishwa nguoπππππ
Nzugilwa
Sasa hapa nitalipa kwa njia gani? Siyo wewe nikulipe ndiyo unaleta screenshot ya muamala hapa kama ushahidi?Lipia hapa ili wengine waone π
Nasemaje?Nikisema full story hapa kama yupo humu itakuwa vibaya ila mpaka kesho anataman nijibu simu yake ila nimeipotezea
Bro mnauziana nini tena?Sasa hapa nitalipa kwa njia gani? Siyo wewe nikulipe ndiyo unaleta screenshot ya muamala hapa kama ushahidi?
Shida yako umezoea kununua malaya
Huko uchochoroni anataka kwenda kukufanyaje?ππππHebu fanya mpango, ananiita uchochoroni sana, masikio yangu yamesimama kwa hofuπ
Kimya bablaiπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺKuna mstari mwembamba sana Kati ya ua maalum na bandama75
Cha kumshauri siku nyingine akipata mwingine asikubali kwenda mpaka ahakikishe Tigbima imelipwa,na ahakikishe muamala umesomeka kwenye Tigo sms..........by the way pole yake alikutana na muhuni wa dunia