Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Hivi ndivyo lizaboni anavyoingiza siku. Buku saba si kidogo sana kwa mtu makini!
 
yan hlo jina la kamanda wema sepetu naona aibu kulitamka.....kweli nimeamini hata kamanda wema K tu
 
Ujasiri wako upo wapi ili tuweze kuulinganisha na ule wa lema ulio koko?? Child Labour umeona kwa Lema? Kama mimi na wewe tumeshindwa kuifanya Tanzania ambayo watoto wetu watajivunia nayo, Lema kajitoa. Hatuna budi kumuombea na kumsupport.
Everybody should say no to children below majority age to be used in dirty politics like godbless lema does to his children. Let our children grow in a dirty free political environment whether their parents are CCM or opposition
 
siri za ndani hizi mkuu unazipata wapi
 
hivi huyu lizaboni ana cheo gani ccm????

je ndio lemutuz kama watu wanavyosema???
maana akili zake kama vile alishawahi kudumbukia chooni utotoni
 
basi sitakushangaa.....nisamehe sikulijua hilo mapema
Mkuu, nilishawaji kidumbukia na mavi nimekula na kunywa mkojo[/QUOTE basi sitakushangaa tena....nisamehe mkuu sikulijua hilo mapema
 
Hivi kwa spidi hii kweli chadema wana nia ya kuja ongoza hii nchi???
HAPANA.
Unamjua Tundu Lissu?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] ndukiiiiiii!!!!
 
Yaaani wewe ni mmbea utaolewa kweli??
 
NDOA YA LEMA MASHAKANI !
 
Hapana Mkuu. Ndoa ya Lema na mkewe ipo mashakani
Kwa hiyo mkuu unasema huyu mgeni ni hatari kwa mustakabali wa ndoa za watu huko CDM? Haya tusubiri muda utasema kila kitu. Mgeni asije akawa balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…