Kweli kabisa mkuuu. Utajiri unatokana naapambano yako apa dunianiVinginevyo Dunia ingeshuhudia wale wasiooa/kuolewa wangekuwa matajiri zaidi kuliko waliooa/kuolewa na hawana watoto. Na wale waliooa/kuolewa na wakawa na mtoto mmoja au wachache wangekuwa matajiri zaidi kuliko wenye watoto wengi. Binafsi nina watoto wengi na ninaishi vizuri kuliko baadhi ya watu wasiooa/kuolewa kabisa na hata wale wenye watoto kidogo pia. Utajiri umebebwa na mapambano yako wewe mwenyewe.
Vipi kama unapambana kwa watoto 10 harafu unazaa 11??Kweli kabisa mkuuu. Utajiri unatokana naapambano yako apa duniani
Maskini wanabeti maisha!Maskini wanazaa watoto wengi kwa sababu zifuatazo
1.Kujifariji watoto wapate kumfariji kwakuwa yeye hana kipato
2.Watoto wapate kuja kumsaidia baba au mama badae
3.Ufinyu wa akili maana wengi wanakuwa hawawezi kuwasaidia wanazaa watoto wengi wanashindwa kuwatunza sana sana wanazalisha wezi makahaba yatima panya road
4.Maskini hana hela asilimia kubwa hio ndio starehe yake inapeleka mimba kila mara
Kiufupi umasikini ni mzigo na laaana
Haya basi mimi ni maskini....Nipe hoja zako[emoji23]Kwani wewe ni tajiri au maskini?
Vifupisho kenye mjadala haviruhusiwi mwalimu wa kiswahili aliwahi niambia[emoji23]SSB ana 8 bana[emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi una bilioni ngapi vile?UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Vifupisho kenye mjadala haviruhusiwi mwalimu wa kiswahili aliwahi niambia[emoji23]
Hahahah acha utani...japo "B" ni ndogo katika alfabeti kwenye pesa bora utaje "M" au "L"Hivi una bilioni ngapi vile?
Matajiri wengi wanaoa wanawake wasomi, wenye ajira au serious business kwa hiyo lazma wawekewe muda flani kwa sababu mwanamke nae ana ndoto za kuzitimiza au yupo busy na ratiba za kazi kiasi hawezi kupata maternity leave kila mara.Maskini wanazaa watoto wengi kwa sababu zifuatazo
1.Kujifariji watoto wapate kumfariji kwakuwa yeye hana kipato
2.Watoto wapate kuja kumsaidia baba au mama badae
3.Ufinyu wa akili maana wengi wanakuwa hawawezi kuwasaidia wanazaa watoto wengi wanashindwa kuwatunza sana sana wanazalisha wezi makahaba yatima panya road
4.Maskini hana hela asilimia kubwa hio ndio starehe yake inapeleka mimba kila mara
Kiufupi umasikini ni mzigo na laaana
Hapo equestion itakulazimu utafute equilibrium kati ya mapato na matumizi harafu jilinganishe na wewe....[emoji23]KARIBU...[emoji23][emoji23]said salim bakhresa.
Ongeza watotoHaya basi mimi ni maskini....Nipe hoja zako[emoji23]
Hiyo ni sahihi...lakini unarudi katika hoja Je mtoto ana affect kipato na sustainability ya kiuchumi ya familia au la?Matajiri wengi wanaoa wanawake wasomi, wenye ajira au serious business kwa hiyo lazma wawekewe muda flani kwa sababu mwanamke nae ana ndoto za kuzitimiza au yupo busy na ratiba za kazi kiasi hawezi kupata maternity leave kila mara.
Kwa maskini ni rahisi kwa sababu wengi wanaoa wanawake wasio na kazi au wanafanya shughuli ndogondogo ambazo haziwahitaji likizo wala kuathiriwa na ujauzito
This is the best fact that African minds can't take it!Rapper Young Thug, Aliwahi kusema kwamba Anatamani Watu Maskini wasizae watoto maana wana ongeza idadi ya maskini wengine duniani.
Mtu maskini akizaa mtoto, Huongeza Umaskini duniani.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu tajiri kama tajiri, labda akose muda wa malezi Ila sio kipato. Na kwa Tanzania hii unakuta mwenye uwezo anasomesha na kuwatunza watoto wa ukoo mzima ndio itakuwa ashindwe kula familia mwenyeweHiyo ni sahihi...lakini unarudi katika hoja Je mtoto ana affect kipato na sustainability ya kiuchumi ya familia au la?
Hapa sababu sio kwanini mtu anapata watoto wengi...Hoja ni vile idadi ya watoto inavyoweza ku-gharimu kipato chako!
Kwa sheria ya wapi? Kwa kufuata formula ipi? Wakizidi 4 unakuwa umevunja sheria?4 tu ni standard jamani
[emoji23]....nitawaleaje??? .....au ndo nabeti uzee wangu[emoji23]!Ongeza watoto
Mkuu waafrika wana laana.This is the best fact that African minds can't take it!
Labda kwa kipato chake....ana uhakika atawasomesha na kuwapa maisha bila yeye kuathiri kesho yake...!Kwa sheria ya wapi? Kwa kufuata formula ipi? Wakizidi 4 unakuwa umevunja sheria?