Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Hata kama ni mama yak??Mi nina msimamo wangu, ukijifanya kutonijua, sitakujua pia, hata nikute unakufa nitaacha ufe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni mama yak??Mi nina msimamo wangu, ukijifanya kutonijua, sitakujua pia, hata nikute unakufa nitaacha ufe
Nimependa hapo ilipomalizia hakika Maisha ni Fumbo hapa Duniani na mwenye majibu ni Mwenyezi Mungu.Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.
Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.
Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.
Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunilaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!
Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.
Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.
Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Usimlipie kwa ubaya nawala usimuambie lolote kuhusu aliofanya yeye. ..if you can msaidie ukiona huhitaji mpemakavu ajijue why humpi hii kuoeneana aibu ndio uadui unazidi mpemakavuMaisha ya hapa duniani ni fumbo..
Sawa muheshimiwa mbunge palina (Mb)Unitag muheshimiwa spika
Alipomsimang sababu ya chakula na kwamba alichezea boom alikuwa siyo mama?Pig chini tuUnaanzajr kumpiga chini mama. Kuna muda unaacha mengine unaangalia tu yale mazuri mama ni mama maana al8kuwa naye wakati wa dhiki
Wazazi ni Mungu wa Pili....Karma is bitch..Alipomsimang sababu ya chakula na kwamba alichezea boom alikuwa siyo mama?Pig chini tu
Bado mimi ningemhudumia japo inauma lakini sio kiasi cha kumtelekeza maana mama kama mama mpaka sasa atakuwa ametumia zaidi ya miaka 20 kumtunza jamaaAlipomsimang sababu ya chakula na kwamba alichezea boom alikuwa siyo mama?Pig chini tu
Hupaswi kulipa kisasi hasa kwa mama yako, mpe huduma bila kuwa na kinyongo naamini utafanikiwa zaidi.Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.
Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.
Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.
Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunilaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!
Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.
Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.
Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Kwa hiyo usiwachukie sana ndg zako,mradi umesha wajua rohoo zao,basi wwe ishii nao kwa akili maana huwezi jua kesho yako hata kama tayari uko vizuri kiuuchumi, Maisha saa yoyote ile yanabadilika,na siyo Kiuchumi tu,hata kiafya!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wakati nawahitaji walikua wapi.Wasaidie tuu ndugu yangu,Utapata baraka zaidi kwa Mungu!
HaaNdugu wachawi sana, hawataki kuona unafanikiwa wala unaendelea mbele
Kipimo kilekile ulinichonipimia nami nitakupimia.Jenga moyo wa kusamehe, usieke kinyongo moyoni ama mawazoni mwako, focus kwenye majukumu Yako, ka umchamungu basi 20/50k mtumie mama Kila mwezi,
Ujana unapita tuu. Nawe siku moja utaitwa baby mwenye hekima na maarifa
Haujawahi kutokea.ili upate mafanikio zaidi wasamehe wote