Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Pia yamesema "Kipimo kilekile ulichopima nawe utapimiwa"Hata maandiko yanasema iweni na kiasi katika kutenda, chuki isizidi kipimo mkuu, that's all.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia yamesema "Kipimo kilekile ulichopima nawe utapimiwa"Hata maandiko yanasema iweni na kiasi katika kutenda, chuki isizidi kipimo mkuu, that's all.
Wasamehe wote. Ukifanikiwa kuwasamehe basi utaishi vizuri zaidi ya sasaBaba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.
Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.
Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.
Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunilaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!
Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.
Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.
Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Nimesikitika sanakuzaa siyo kupata, pamoja na mama yako kuhangaika na malezi peke yake toka uko kichanga leo unazungumza hivyo!?
Muheshimu mzazi wako Ili usife mapema....Kwani wao wakati nawahitaji hawakujua haya maneno.
Maisha yaleyale walioishi na Mimi nami nitaishi nao hivyohivyo.
#YNWA
Watu wengi wanapenda kua karib na UWARIDI....Iko hivi hao wote walikutesa wakati unashida ujue nao walipitia maisha magumu walivyopata wakaona ndo mda wakuwatesa na kuwanyanyasa wasionacho.
.
Kama ulivyosema kuwa dunia ni fumbo bas bado unafumbo mbele yako, hujui kesho utakuwa nani pengine kesho ndo anguko lako kubwa kuwahi kutokea maishani mwako.
.
Nachokushauli samehe sahau, saidia watu kadri uwezavyo, sometimes Mungu hukupa ridhiki kama mlango na wengne kubarikiwa kupitia wewe kwaiyo nakushauri tu saidia watu kadri utakavyojaliwa na utazidishiwa ulichonacho lkn kwa roho mbaya jiandae kurudi kwenye ufukara kwa mara nyingne
Mkuu,Kuambiwa ukweli sio masimango.Mama alikuwa na uchungu na ilikuwana lazima akwambia maneno yatakayokurudisha kwenye reli hata kama yanaumiza.Unafikiri alifurahia kwamba huna kazi na umesoma.Huyu mleta mada anaoneka ni mtu mwenye roho mbaya ila sasa nafsi inamsuta inabidi ajipe moyo.Alipomsimang sababu ya chakula na kwamba alichezea boom alikuwa siyo mama?Pig chini tu
Ila mama usimkazie hafamu chochoteBaba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.
Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.
Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.
Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunilaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!
Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.
Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.
Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Hizi ni kauli za KIJINGA. Asiyekosea ni Mungu pekee.Mkuu mama hakosei.
Mtunze mama usioneshe tofauti.
Kumbuka amekulea kwa shida sana.
Acha iwe hivyoAsiyejali wa kwao ni mbaya kuliko asiyeeamini