Hii ndiyo sababu ya mimi kutokuwa na huruma na Ndugu

Nimependa hapo ilipomalizia hakika Maisha ni Fumbo hapa Duniani na mwenye majibu ni Mwenyezi Mungu.
 
Um
Maisha ya hapa duniani ni fumbo..
Usimlipie kwa ubaya nawala usimuambie lolote kuhusu aliofanya yeye. ..if you can msaidie ukiona huhitaji mpemakavu ajijue why humpi hii kuoeneana aibu ndio uadui unazidi mpemakavu
 
Wazazi hawalipizwi Kisasi ingawaje wanakosea, endelea kumsaidia Mama kulingana na moyo wako utakavyo.

Saudia pia na Ndugu zako Ila usiwaweke karibu yako. Saidia kulingana na uwezo wako lakini hakikisha hawawi karibu na wewe.
 
kitu ambacho hukijui wazazi na jamii wanahisi chuo tunapewa mamilioni kila mwezi hivyo wakat unampa elfu 60-100 alikuwa anajua unatunza m1 kwa mwezi
kitendo cha kuja huna hata mia, akatafsiri ulikuwa unakula bata tu hivyo akazungumza kwa hasira julisha stress za maisha

ajabu la karne: ni kuona wewe umeyabeba yale maneno ya hasira na stress

kumsaidia mama hatukuombi hili ni lazima, maana amehangaika na wewe na anaweza sema lolote likakukuta (kiimani)

sasa leta ujauaji wako na elimu yako utaona video, naona umemfanya muumba nduguyo kwamba utakuwa na fedha maisha yako yote.
 
All in all chuki, kisasi, roho mbaya, makasiriko humchoma aliye ihifadhi moyoni....😊😊

Niliwai kuishi kama sipo duniani.........Mm ukini negative motivation NDIO ume uwasha moto wa kufanikisha kile nacho kipambania....

Msiache kuongea_Mwana FA Ft Lady jay de....
Huu wimbo ulikua una nipa inspirational words sana kwenye hustle za kujitafutaa.....

Wasalaam

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Unaanzajr kumpiga chini mama. Kuna muda unaacha mengine unaangalia tu yale mazuri mama ni mama maana al8kuwa naye wakati wa dhiki
Alipomsimang sababu ya chakula na kwamba alichezea boom alikuwa siyo mama?Pig chini tu
 
Alipomsimang sababu ya chakula na kwamba alichezea boom alikuwa siyo mama?Pig chini tu
Bado mimi ningemhudumia japo inauma lakini sio kiasi cha kumtelekeza maana mama kama mama mpaka sasa atakuwa ametumia zaidi ya miaka 20 kumtunza jamaa
 
Hupaswi kulipa kisasi hasa kwa mama yako, mpe huduma bila kuwa na kinyongo naamini utafanikiwa zaidi.
 

Kwani wao wakati nawahitaji hawakujua haya maneno.
Maisha yaleyale walioishi na Mimi nami nitaishi nao hivyohivyo.

#YNWA
 
Jenga moyo wa kusamehe, usieke kinyongo moyoni ama mawazoni mwako, focus kwenye majukumu Yako, ka umchamungu basi 20/50k mtumie mama Kila mwezi,

Ujana unapita tuu. Nawe siku moja utaitwa baby mwenye hekima na maarifa
Kipimo kilekile ulinichonipimia nami nitakupimia.
Nilikuhitaji nikiwa na shida na hukutokea.
Hivyo wakati huu ukiwa na shida usitegemee kuniona.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…