Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
Umejionyesha kwa jamii ni binti ambae hujatulia. MaterialisticNimejiaibisha na nini etiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejionyesha kwa jamii ni binti ambae hujatulia. MaterialisticNimejiaibisha na nini etiš
Wokovu ni kuacha matendo maovu, sijui unautafsiri vipi mwenzanguHicho ni kichaka.
Wewe unahis umeokoka ila matendo ya mtu alieokoka hata hii story kuisimulia hapa asingeweza.
Kumkomesha ex wangu sijatulia?Umejionyesha kwa jamii ni binti amabe hujatulia. Materialistic
Wokovu ni kumpokea kristo. Na kuacha matendo maovu, wewe usimuliaji wako na utetezi wako unathibitisha unatetea matendo maovu.Wokovu ni kuacha matendo maovu, sijui unautafsiri vipi mwenzangu
Huoni kukubali kwenda nae kula inakuonyesha kabisa unaendeleza njaa? Kama ulishaamua hamtapasha kiporo why usimkatalie hata kutoka nae?Kumkomesha ex wangu sijatulia?
Sijatetea hiyo kitu ndiyo maana nimesema sitafanya tenaWokovu ni kumpokea kristo. Na kuacha matendo maovu, wewe usimuliaji wako na utetezi wako unathibitisha unatetea matendo maovu.
Okay. Mungu akusaidieSijatetea hiyo kitu ndiyo maana nimesema sitafanya tena
Nilitaka kumpotezea muda kidogoHuoni kukubali kwenda nae kula inakuonyesha kabisa unaendeleza njaa? Kama ulishaamua hamtapasha kiporo why usimkatalie hata kutoka nae?
Mmmh. SawaNilitaka kumpotezea muda kidogo
Amina šOkay. Mungu akusaidie
Wa kikeSorry wewe ni me au ke?
Hakika mkuu, tuendelee kupiga kazi.CCM wanapenda story hz kwa vijana w Tanganyika.
KAZI ni kipimo cha utu
Rafiki yako Kampata mwenye mimba?Sorry wewe ni me au ke?
SawaWa kike
ššusiseme hivyo unanitishaIPO siku utaingia tu kwenye 18 zangu acha niendelee kukubembeleza
Mi najua kwangu huna mbio,siku ukilengesha taichapa kweli kweliššusiseme hivyo unanitisha
Mpaka sasa Una Ex wangapi? Hapa ngoja nitulie kwanzaKuna siku nilikutana nae njiani akanipa lifti, akanikumbushia nilichomfanyia ile siku, mimi nilimcheka sana. Hiyo ndiyo zawadi ya x- anaerudi kupasha kiporo.