Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mwambie tunaingia page ya 10 kwa muda mfupi wa masaa2 na dk!Weee! 😁😁
Tutakalia politik kutwa?
Watu bhana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie tunaingia page ya 10 kwa muda mfupi wa masaa2 na dk!Weee! 😁😁
Hadi nataka kuhama nchi jamani maex kila kona😢😢🙌Ahaaa Una Ma ex kila Kona
Ukikohoa Tu ex huyu hapa
Anapotezewa muda na amekomenti😁😁😁🙌Mwambie tunaingia page ya 10 kwa muda mfupi wa masaa2 na dk!
Tutakalia politik kutwa?
Watu bhana!
Namna hiyoKomesha
Ningepata wa kunioa ningetulia🥲🙈Hayoo matatizo binafsi hayo ndio umeyatengeneza mwenyewe kijinga jinga namna hii
Alafu kweli lakini angenitupa barabarani kama kufa au kuumia si tungedhurika wote, alafu kukutana na Ex wako hiyo haiwezi kukufanya uonekane malaya aisee, binadamu tunakutana popote.Kwan ungemchana tu live kuwa huko interested na mambo hizo any more ungepungukiwa nini?
Ungemuepusha na gharama alizotumia plus muda wake..pia ungeepusha kadhia uliokumbana nayo ya kujiletea impression ya wewe kuwa ni malaya maana umekutana na ma ex zake 2 at per, so you think ina sound aje, yan we mwenyewe ukajiona kweli mi malaya.
Usipende sana kula kula vya watu, cha mtu hakiliwi, vitakutokea puani.
Halaf ulivyo mjinga sasa, umekutana nae tena, bado ukapewa lift na ukakubali angekutupa barabarani ionekane ni ajali je?
Tumieni akili wakat mwingine
Sasa hujatulia, utampatia wapi na unazidi tu kuongeza body count??Ningepata wa kunioa ningetulia🥲🙈
We jua tu ungeumia wewe..na hata kama mngeumia wote bado isingepunguza hasara ambayo wewe binafsi umeipata?Alafu kweli lakini angenitupa barabarani kama kufa au kuumia si tungedhurika wote, alafu kukutana na Ex wako hiyo haiwezi kukufanya uonekane malaya aisee, binadamu tunakutana popote.
Mimi nimeshatulia mbona muda mrefu tuSasa hujatulia, utampatia wapi na unazidi tu kuongeza body count??
Hiv unafikiri wanaume ni wajinga kama wanavyoonekana. Akikuchomeka mpini mwenzako akili yake inapekecha kuona hili bwana ni mtera au stigglers godge?
Endelea tu kukitembeza
Ndio hivyo sasa ushaliwa mpaka hatuitaman tenaMimi nimeshatulia mbona muda mrefu tu
Nimekuelewa hapo mkuu sitafanya hivyo tenaWe jua tu ungeumia wewe..na hata kama mngeumia wote bado isingepunguza hasara ambayo wewe binafsi umeipata?
Unaona sasa ujinga huu, uko obsesed kupiga hesabu mambo ya mwingine unasahau namna una jeopardize ya kwako
Hamuitamani wewe na nani mkuu?Ndio hivyo sasa ushaliwa mpaka hatuitaman tena
Siku moja asubuhi wakati natoka nyumbani kwenda mihangaikoni nikiwa stendi nikakutana na x- wangu, nilikuwa nina mwaka mzima sijawahi kumuona.
Nikasalimiana nae akaniuliza mbona nimepotea ananipigia sipokei, ni kweli aliwahi kunicheki WhatsApp sikujibu nilifuta kabisa. Nikamwambia mambo mengi nicheki leo, akaniambia sawa, nikaondoka kweli baadae alinicheki. Akaniambia anataka tuonane kanimiss sana na wakati huu akawa ananiita mpenzi wake😁😁 nikamwambia tuonane kesho leo nipo bize nimechoka then kesho naingia asubuhi kanibembeleza lakini niligoma.
Ikafika hiyo kesho mida ya usiku akaniambia nirequest bolt hadi kwake, nikamwambia mimi sijisikii kupanda hizo bolt nifate, akanibembeleza nirequest nikagoma, ikabidi anifate.
Akaja mpaka karibu na ofisini, akafika kanipigia nikatokea kwa hapo stendi nikamkuta maana alikuja na pikipiki yake, nikamwambia twende mahali tukapate dinner ndiyo tuondoke, kweli tukaenda hadi bar fulani na ilikuwa weekend, tulivyofika nikala yeye hakunywa chochote alisema alikuwa kalala amekuja kwaajili yangu.
Wakati nimeletewa chakula nakula hapo, mbele yetu ghafla nikamuona x-wangu mwingine tuliyeachana kwasababu flani flani hizi nitaeleza wakati mwingine. Huyu x wangu mwingine alikuwa na rafiki zake nilishtuka, ila nikawa normal tu, yeye sasa nikamuona anawanong"oneza marafiki zake wanageuka wananiangalia, nadhani hakutegemea kama tungekutana. Akaanza kunywa pombe kwa sifa mwishowe ikiabidi wahame meza na marafiki zake, naona hakuwa comfortable kukaa pale.
Huyu x-wangu niliyekuja nae hakuona chochote ndiyo kwanza alikuwa ananilazimisha nile chap tuondoke akanile, nikamaliza kula pale nikamwambia nipeleke nyumbani kwanza sijachukua nguo za kesho,.
Basi akanipeleka mpaka pale stendi aliponiona ile siku ya 1 nikamuacha pale nikamwambia narudi nilivyofika ndani nikamwambia mimi nalala tutaonana siku nyingine, akapiga sikupokea akatuma msg sikujibu. Hakunitafuta tena.
Kuna siku nilikutana nae njiani akanipa lifti, akanikumbushia nilichomfanyia ile siku, mimi nilimcheka sana. Hiyo ndiyo zawadi ya x- anaerudi kupasha kiporo.
Unacho cheti changu cha kuzaliwa?Umezaliwa 2010 ww, pumbaf
Wanaume wooote wenye akili.Hamuitamani wewe na nani mkuu?
Inasoma kirometa 😂😂kibaoNdio hivyo sasa ushaliwa mpaka hatuitaman tena
Wewe unanimalizia hasira zako za kuachwa naona, vipi ushamaliza kesi??Wanaume wooote wenye akili.
Tulia kwanza, utapata wa kukuoa.Ningepata wa kunioa ningetulia🥲🙈