Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,236
- 2,060
Kila mtu ni malaya viwango ndo tunazidianaMalaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ni malaya viwango ndo tunazidianaMalaya
Wewe mrembo.Nani Bibie wewe 🥶
Hakika mkuuKila mtu ni malaya viwango ndo tunazidiana
😁😁😁🙌Nakuoa leo ijumaa, jumapili jioni tunaachana
Sema haujakutana na X serious halafu akawa na pesa ya kuchezea na mbinu mujarabu.Hiki kitu, nimejiapiza sitakuja kufanya aisee kwanza mimi nikiachana na mtu huwa nafuta kila kitu sitaki kumbukumbu yoyote, sitaki namna yoyote ya kurudiana nae itokee
Wamezoea sana hizi mambo😁😁😁Watoa comment mmevamia mtoa mada jamani 😹😹😹 all in all saivi violence tu kwa wapsha viporo mmezoea ujinga🤧
Kabisa wanaleta kaujinga flani😹Wamezoea sana hizi mambo😁😁😁
Wewe hatari aisee, sema tabia ya kupasha viporo siyo nzuri nayo😁🙌Sema haujakutana na X serious halafu akawa na pesa ya kuchezea na mbinu mujarabu.
Mkuu ungelikuwa X wangu tusingeliandikia mate kwa jinsi ninavyojifahamu!
Ninakubali kujitia hasara ili nitimize dhamira yangu kwako.
Ninajua unaweza kunitolea nje kwa jeuri ya uoga, lakini nikikaza lazima nikuvue!
Mwanamke nikimtamani huwa natumia mbinu halali na haramu kumnasa, kujitia hasara sioni shida.
Nina mbinu nyingi sana mkuu wala usibishe.
Bila shaka wewe na Nape Mnauye mzee wa mchezo mchafu.Sema haujakutana na X serious halafu akawa na pesa ya kuchezea na mbinu mujarabu.
Mkuu ungelikuwa X wangu tusingeliandikia mate kwa jinsi ninavyojifahamu!
Ninakubali kujitia hasara ili nitimize dhamira yangu kwako.
Ninajua unaweza kunitolea nje kwa jeuri ya uoga, lakini nikikaza lazima nikuvue!
Mwanamke nikimtamani huwa natumia mbinu halali na haramu kumnasa, kujitia hasara sioni shida.
Nina mbinu nyingi sana mkuu wala usibishe.
Wameumia kama nimewanyima wao vile😁😁Kabisa wanaleta kaujinga flani😹
Alienda kula, kwani bar hawaruhusiwi kwenda kula chakula?Ulienda na Bar na mwanaume wako wa zamani, ukakutana hapo na mwanaume wako mwingine wa zamani...alafu bila haya unajiita Binti Sayuni.....😳
Ndiyo nilienda kula jamani🥲Alienda kula, kwani bar hawaruhusiwi kwenda kula chakula?
Siyo mmoja, wawili bhana.Alikuwa mmoja tu mkuu
Eeeh! Wawili nikasahauSiyo mmoja, wawili bhana.
Weee! 😁😁mpuuzi fulani hivi unatupotezea muda....Binti Malaya
Achana nao, dawa Yao ndiyo hiyo, kwani alisahau nini! Mwaka ulishapita aendelee na wengine hukoNdiyo nilienda kula jamani🥲
Hayoo matatizo binafsi hayo ndio umeyatengeneza mwenyewe kijinga jinga namna hiiAniue kwasababu zipi sasa jamani, atakuwa ana matatizo binafsi
Ndiyo hapo sasa, hata aibu wanaume hawana hata haya jamani🙌🙌Achana nao, dawa Yao ndiyo hiyo, kwani alisahau nini! Mwaka ulishapita aendelee na wengine huko