Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Hiki kitu, nimejiapiza sitakuja kufanya aisee kwanza mimi nikiachana na mtu huwa nafuta kila kitu sitaki kumbukumbu yoyote, sitaki namna yoyote ya kurudiana nae itokee
Sema haujakutana na X serious halafu akawa na pesa ya kuchezea na mbinu mujarabu.

Mkuu ungelikuwa X wangu tusingeliandikia mate kwa jinsi ninavyojifahamu!

Ninakubali kujitia hasara ili nitimize dhamira yangu kwako.

Ninajua unaweza kunitolea nje kwa jeuri ya uoga, lakini nikikaza lazima nikuvue!

Mwanamke nikimtamani huwa natumia mbinu halali na haramu kumnasa, kujitia hasara sioni shida.
Nina mbinu nyingi sana mkuu wala usibishe.
 
Sema haujakutana na X serious halafu akawa na pesa ya kuchezea na mbinu mujarabu.

Mkuu ungelikuwa X wangu tusingeliandikia mate kwa jinsi ninavyojifahamu!

Ninakubali kujitia hasara ili nitimize dhamira yangu kwako.

Ninajua unaweza kunitolea nje kwa jeuri ya uoga, lakini nikikaza lazima nikuvue!

Mwanamke nikimtamani huwa natumia mbinu halali na haramu kumnasa, kujitia hasara sioni shida.
Nina mbinu nyingi sana mkuu wala usibishe.
Wewe hatari aisee, sema tabia ya kupasha viporo siyo nzuri nayo😁🙌
 
Sema haujakutana na X serious halafu akawa na pesa ya kuchezea na mbinu mujarabu.

Mkuu ungelikuwa X wangu tusingeliandikia mate kwa jinsi ninavyojifahamu!

Ninakubali kujitia hasara ili nitimize dhamira yangu kwako.

Ninajua unaweza kunitolea nje kwa jeuri ya uoga, lakini nikikaza lazima nikuvue!

Mwanamke nikimtamani huwa natumia mbinu halali na haramu kumnasa, kujitia hasara sioni shida.
Nina mbinu nyingi sana mkuu wala usibishe.
Bila shaka wewe na Nape Mnauye mzee wa mchezo mchafu.
 
Back
Top Bottom