Hapana huo sio ubinadamu. Umekosea. Ulitakiwa uwe mkweli and directNingemwambia hivyo angenisumbua bado ndiyo maana nikaamua nimuachie ukumbusho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana huo sio ubinadamu. Umekosea. Ulitakiwa uwe mkweli and directNingemwambia hivyo angenisumbua bado ndiyo maana nikaamua nimuachie ukumbusho
Onja migegedo tofauti tofauti au sio😜Sasa si nachukua mafunzo niingie kwenye ndoa najua kila kitu
Jibu zuri sana 😁👏Huyu siyo mpuuzi bali ni content crietor mmoja mzuri sana.
Angalia mada yake inavyokimbiza ina masaa awili, page tunaingia ya saba!
Watu wanampopoa, lakini inazidi kusonga kwa kasi ya upepo!
Tunashauriwa humu usichojipenda achana nacho na usichangie, unapita hivi kimya kimya.
Ila kupasha kiporo na kukila huwa ni kitamu sana kuliko chakula fresh.Kosa langu ni kumnyima ex au😢🥲
Ema una jina kama la mpenzi wangu🥰😊Wewe kwa hayo mapigo huwezi kuwa binti sayuni badilisha Jina tu!
Hiki kitu, nimejiapiza sitakuja kufanya aisee kwanza mimi nikiachana na mtu huwa nafuta kila kitu sitaki kumbukumbu yoyote, sitaki namna yoyote ya kurudiana nae itokeeIla kupasha kiporo na kukila huwa ni kitamu sana kuliko chakula fresh.
Sijui huwa ni kwa nini tu!
Ikikupendeza siku moja pasha mkuu kwa masharti magumu ya kuishia hapo hapo, ni tamu!
Alikuwa mmoja tu mkuuHiyo bar ilikuwa imejaa ma x siku hiyo.
Sikuwa na njaa hata kidogo, niliamua tu kumpotezea muda kama yeye alivyonipotezea, sawa mtu mzima.Dhamira Kuu
1. Umalaya: Ulienda na Ex wako mkakutana na Ex wako mwingine, na inawezekana ushauri wa kufanya ivo ulipewa na Ex mwingine
2. Njaa: Kukataa tu kuliwa mpaka uombe dina?
Dhamira nyinginezo
1. Utoto
2. Chai
Ni suala la muda. Ninyi wadada mnaopenda kuachana na bwana zenu kwa vita na kuanza zile mbwembwe za kuonesha 'i have moved on and I don't give a damn' huwa mnarudi kutafunwa kirahisi tu, huyo mwamba ni kweli hajakukomalia pengine ni vile tu hakuhitaji sana.Hiyo kitu hakiwezekani maana siendagi tena hizo sehemu hatarishi
Ndiyo mkuu, sema sasa hivi nishamalizana na hayo tayariOnja migegedo tofauti tofauti au sio😜
Mimi sikutaka iwe vita yeye ndiyo kasababisha kwanini anikaushie mwaka alafu kuonana tu atake showNi suala la muda. Ninyi wadada mnaopenda kuachana na bwana zenu kwa vita na kuanza zile mbwembwe za kuonesha 'i have moved on and I don't give a damn' huwa mnarudi kutafunwa kirahisi tu, huyo mwamba ni kweli hajakukomalia pengine ni vile tu hakuhitaji sana.
Mimi huwa naachana kwa amani kabisa na maex wangu % kubwa tunaongea fresh, ila wale vichwa panzi wachache wanaotaka kuifany breakup kuwa ya ki movie movie sana na mbwembwe kibao ndo huwa nawajaza kwenye mfumo napasha napita hivi then wanarudi kwenye mbwembwe zao until further notice.
Hata yeye kuna kitu aliwahi kunifanyia ndiyo maana nikaamua nimlipizieHapana huo sio ubinadamu. Umekosea. Ulitakiwa uwe mkweli and direct
Asante mkuu, nimemaliza lakiniSawa mkuu,All the best kwenye mafunzo.
Bibie Bolotoba rudia kauli yako!
🙊🙈🙈njoo nikuoe
Nakuoa leo ijumaa, jumapili jioni tunaachana