Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Hufai na unakoelekea ni kubaya ukiendelea kuwa na ma X- wengi
 
Wewe ulimfanyia kituko cha staha kidogo bhana.

Mimi X wangu alilipiza kwa kunikomoa!

Nilivyokutana naye kanona halafu anaringa kuliko zamani, nadhani alinifanyia makusudi kunivuruga saikolojia, nikamtamani!

Mbinu zangu nilizozitumiaga zamani kumnasa nikazibadili, sasa nikatumia mtego wa cash za kutupatupa kama wanavyofanyaga waNigeria.

Alivyojaa, haraka sana nikamshawishi twende 'gesti', akakubali.

Tulipofika gesti kulikuwa na bar, unakutana na bar kwanza, vyumba vipo uani na mhudumu wa vyumba yuko uani huko huko.

Nikaelekezwa na mhudumu wa bar kwenda aliko mhudumu wa guest kulipia.

Dosho nikamuacha counter, nilipolipia nikamfuata huku nikichuruzikwa na udenda wa 'pre cum' kwenye boxer na mate ya kawaida hunijaa sana mdomoni nikiwa katika hali hiyo!

Kurudi counter dosho hayupo, kenda wapi tena huyu!

Nikabana kimya dk 15 kumsubiri!

Uvumilivu ulivyonishinda nikampigia simu akapokea na kunambia katoka kidogo nisitoke nimsubiri.

Toka saa12 hadi saa4 kila nikipiga ananiplease nisitoke, ilipofika saa5 akaniblock rasmi.

Roho ikaanza kuniuma na kunienda mbio kama mtu niliyepoteza kitu chenye thamani kubwa, maana hata kwake sipajui.

Baada ya kublockiwa nikaanza kujilaumu kwa kumwacha counter pamoja na kuwaza mawazo ambayo hayakunisaidia kumpata.

Yaani mimi kanifanyia hivi kweli, hela ya pango iliwe kipumbafpumbaf bila chumba kutumika!

Alinijaza upepo, lakini si wa kupigana ama kugombana, hapana ni ile jazba ya kumkosa na kukikosa nilichodhamiria kukipata kwa muda huo.

Iliniuma sana na nikakiri kwamba siku hiyo alinikomoa.
Hahahahahahah hapo mwani ulikuwa umepanda kweli lazma mishipa ya bolo ikuume🤣 maana chuma kiko 5G bila kuloweka kwa masaa. Kikishuka kinashuka na maumivu ya misuli
 
Namna hiyo, naona wanaume wamechukizwa na mwanaume mwenzao kunyimwa😁
Mfumo uliotumia ni counter attack🤣 ila next time huchomoki sababu dhamira ni kunyima tunda utatekwa tu kiakili kwa mbinu za kimedani. Lazma ahakikishe umekula kitu cha kukulaza hoi utastuka asubuhi tu uko ndani ya shuka na mwamba.
 
Wewe ni ndege mjanja, kwa sababu wewe ni mjanja sana ni suala la muda. Tok tok tok mshale wa saa tuk tuk tuk tuk unasogea tu tik tik tik. Kila la heri.
 
Back
Top Bottom