proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Hufai na unakoelekea ni kubaya ukiendelea kuwa na ma X- wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NiaminisheAya kama huniamini
Hio ni dalili ya uoga mtani
Hii sasa imezidi dogi kala sani gogoz 🤣🤣🤣🤣
Siku nyingine lazma utaisha tu🤣 wanaume sio watu wa mchezo!Mh😔 kwanini unasema hivyo mkuu wakati hata kumpa sijampa
Hahahahahahah hapo mwani ulikuwa umepanda kweli lazma mishipa ya bolo ikuume🤣 maana chuma kiko 5G bila kuloweka kwa masaa. Kikishuka kinashuka na maumivu ya misuliWewe ulimfanyia kituko cha staha kidogo bhana.
Mimi X wangu alilipiza kwa kunikomoa!
Nilivyokutana naye kanona halafu anaringa kuliko zamani, nadhani alinifanyia makusudi kunivuruga saikolojia, nikamtamani!
Mbinu zangu nilizozitumiaga zamani kumnasa nikazibadili, sasa nikatumia mtego wa cash za kutupatupa kama wanavyofanyaga waNigeria.
Alivyojaa, haraka sana nikamshawishi twende 'gesti', akakubali.
Tulipofika gesti kulikuwa na bar, unakutana na bar kwanza, vyumba vipo uani na mhudumu wa vyumba yuko uani huko huko.
Nikaelekezwa na mhudumu wa bar kwenda aliko mhudumu wa guest kulipia.
Dosho nikamuacha counter, nilipolipia nikamfuata huku nikichuruzikwa na udenda wa 'pre cum' kwenye boxer na mate ya kawaida hunijaa sana mdomoni nikiwa katika hali hiyo!
Kurudi counter dosho hayupo, kenda wapi tena huyu!
Nikabana kimya dk 15 kumsubiri!
Uvumilivu ulivyonishinda nikampigia simu akapokea na kunambia katoka kidogo nisitoke nimsubiri.
Toka saa12 hadi saa4 kila nikipiga ananiplease nisitoke, ilipofika saa5 akaniblock rasmi.
Roho ikaanza kuniuma na kunienda mbio kama mtu niliyepoteza kitu chenye thamani kubwa, maana hata kwake sipajui.
Baada ya kublockiwa nikaanza kujilaumu kwa kumwacha counter pamoja na kuwaza mawazo ambayo hayakunisaidia kumpata.
Yaani mimi kanifanyia hivi kweli, hela ya pango iliwe kipumbafpumbaf bila chumba kutumika!
Alinijaza upepo, lakini si wa kupigana ama kugombana, hapana ni ile jazba ya kumkosa na kukikosa nilichodhamiria kukipata kwa muda huo.
Iliniuma sana na nikakiri kwamba siku hiyo alinikomoa.
Mfumo uliotumia ni counter attack🤣 ila next time huchomoki sababu dhamira ni kunyima tunda utatekwa tu kiakili kwa mbinu za kimedani. Lazma ahakikishe umekula kitu cha kukulaza hoi utastuka asubuhi tu uko ndani ya shuka na mwamba.Namna hiyo, naona wanaume wamechukizwa na mwanaume mwenzao kunyimwa😁
Unataka kwenda kula bure na vya Emma?!Ema una jina kama la mpenzi wangu🥰😊
Inategemea mliachana vipi, kama ulimuumiza haina jinsiHiki kitu, nimejiapiza sitakuja kufanya aisee kwanza mimi nikiachana na mtu huwa nafuta kila kitu sitaki kumbukumbu yoyote, sitaki namna yoyote ya kurudiana nae itokee
De buluutush device is rede to peyaaa🤣Watoa comment mmevamia mtoa mada jamani 😹😹😹 all in all saivi violence tu kwa wapsha viporo mmezoea ujinga🤧
Mmmh😁😁Ukichunguza sana utakuta na mm ni x-wako.
Mbona unanitisha sasa 😁😁Wewe ni ndege mjanja, kwa sababu wewe ni mjanja sana ni suala la muda. Tok tok tok mshale wa saa tuk tuk tuk tuk unasogea tu tik tik tik. Kila la heri.
Hao wawili tu ni wengi jamani🙄Una x wengi wewe. Ndiyo maana Mimi nilioa MWANAMKE bikira
Wengi inaanzia na mbili bado alie kata utepe apo. Ukiacha hao x wawiliHao wawili tu ni wengi jamani🙄