Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Hufai na unakoelekea ni kubaya ukiendelea kuwa na ma X- wengi
 
Hahahahahahah hapo mwani ulikuwa umepanda kweli lazma mishipa ya bolo ikuume🤣 maana chuma kiko 5G bila kuloweka kwa masaa. Kikishuka kinashuka na maumivu ya misuli
 
Namna hiyo, naona wanaume wamechukizwa na mwanaume mwenzao kunyimwa😁
Mfumo uliotumia ni counter attack🤣 ila next time huchomoki sababu dhamira ni kunyima tunda utatekwa tu kiakili kwa mbinu za kimedani. Lazma ahakikishe umekula kitu cha kukulaza hoi utastuka asubuhi tu uko ndani ya shuka na mwamba.
 
Wewe ni ndege mjanja, kwa sababu wewe ni mjanja sana ni suala la muda. Tok tok tok mshale wa saa tuk tuk tuk tuk unasogea tu tik tik tik. Kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…