Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

halafu mkitekwa na kupigwa mtungo mnalalamika. Ingekugharimu kiasi gani kukataa?

Vya watu mnavipenda, vyenu mnaona almasi.
 
Kitumbua kimechoka, kipo likizo.
 
X G-
Huw MnaOnaga kula ela za ma x- wenu ni haki yenu ila kuliwa ahaaa


Ma x Girlfriend mnajua kudai anteetion kwa mlioachana nao ila kuliwa aaa pesa mnatakan
 
Safi sana [emoji81][emoji81]
Naona wanaume mmekasirika.!! [emoji1787]

Ila mahi inaonekana nawe si haba umewapanga.!! Haya Abood ngapi wanatoshea?? [emoji81][emoji81]
Hapo ungeendelea kukaa wangejitokeza wengine…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Waja mnapitia mengi mno, Poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kwa stori hii inaonekana umetumika sana hujui kukataa watu wanajipigia tu, mtoto maharage ya mbeya wewe
 
Wewe ni kivuruge endelea kuwachezea watoto WA watu eti kisa upo kwenye prime age.
Utakuja kushtuka 30 hii hapa unaanza kuhangaikia ndoa na hutoipata
 
Wewe ni kivuruge endelea kuwachezea watoto WA watu eti kisa upo kwenye prime age.
Utakuja kushtuka 30 hii hapa unaanza kuhangaikia ndoa na hutoipata
Hata siwezi kufika huko mbali kote kwa jina la Yesu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…