Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Sasa si ungekataa mapema, acha umalaya binti utakufa na ukimwi, na pesa yenyewe ya kununua ARV huna, maana inaonekana kabisa ni masikini wa kunuka.
Hakika mimi ni masikini kama wewe, masikini tunajuana
 
Ulienda na Bar na mwanaume wako wa zamani, ukakutana hapo na mwanaume wako mwingine wa zamani...alafu bila haya unajiita Binti Sayuni.....😳
Daaaah, kazi ipo. Halafu anachekelea na kuona raha kabisa kusimulia.
 

Attachments

  • 1000285438.jpg
    39.5 KB · Views: 1
Shida ni ipi hapo mkuu, hutaki kujifunza?
Nini sasa cha kujifunza hapo, mimi tukimalizana mkuu tumemalizana na sababu zinakuwa zipo wazi. Hata siku nikikukuta upo uchi sina taimu ya ngono na wewe tunabaki marafiki wa kawaida tu kama itafaa. Isipofaa pia sawa, ila napenda ifae
 
 
Nini sasa cha kujifunza hapo, mimi tukimalizana mkuu tumemalizana na sababu zinakuwa zipo wazi. Hata siku nikikukuta upo uchi sina taimu ya ngono na wewe tunabaki marafiki wa kawaida tu kama itafaa. Isipofaa pia sawa, ila napenda ifae
Oooh sawa vizuri
 
Ila we kijana ulifanya uuaji ule serikali inatakiwa ikutazame mara mbili mbili zaidiπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huu Uzi kisoma unaweza vunja mbavu pasipo matarajio kwaiyo yote kwa yote nani mlengwa mwaume au mwanamke πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwanaume anayetaka kula asipopalisha aache huo ujinga mara moja😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…