Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

Wewe ulimfanyia kituko cha staha kidogo bhana.

Mimi X wangu alilipiza kwa kunikomoa pakubwa, ama waswahili wanasema alinipiga kwenye mshono!

Nilivyokutana naye kanona halafu anaringa kuliko zamani, nadhani alinifanyia makusudi kunivuruga saikolojia, kikaniuma nikamtamani!

Mbinu zangu nilizozitumiaga zamani kumnasa nikazibadili, sasa nikatumia mtego wa cash za kutupatupa kama wanavyofanyaga waNigeria kwenye harusi zao.

Alivyojaa, haraka sana nikamshawishi twende 'gesti', akakubali.

Tulipofika gesti kulikuwa na bar, unakutana na bar kwanza, vyumba vipo uani na mhudumu wa vyumba yuko uani huko huko.

Nikaelekezwa na mhudumu wa bar kwenda aliko mhudumu wa guest kulipia.

Dosho nikamuacha counter, nilipolipia nikamfuata huku nikichuruzikwa na udenda wa 'pre cum' kwenye boxer na mate ya kawaida hunijaa sana mdomoni nikiwa katika hali hiyo na kuyameza huwa nashindwa maana yanakuwa na mchanganyiko wa magadi na chumvi!

Tamaa ya ngono ilinitawala mwili mzima, nikawa natembea kwa shida, mkono mfukoni kukunja mnara usiniaibishe!

Kurudi counter dosho hayupo, kenda wapi tena huyu!

Nikabana kimya dk 15 kumsubiri!

Uvumilivu ulivyonishinda nikampigia simu akapokea na kunambia katoka kidogo nisitoke nimsubiri.

Toka saa12 hadi saa4 kila nikipiga ananiplease nisitoke, ilipofika saa5 akaniblock rasmi.

Roho ikaanza kuniuma na kunienda mbio kama mtu niliyepoteza kitu chenye thamani kubwa, maana hata kwake sipajui.

Baada ya kublockiwa nikaanza kujilaumu kwa kumwacha counter pamoja na kuwaza mawazo ambayo hayakunisaidia kumpata.

...'Yaani mimi kanifanyia hivi kweli, hela ya pango iliwe kipumbafpumbaf bila chumba kutumika'...kweli jamani, inawezekanaje, mbona mimi siamini!'

Alinijaza upepo, lakini si wa kupigana ama kugombana, hapana ni ile jazba ya kumkosa na kukikosa nilichodhamiria kukipata kwa muda huo.

Iliniuma sana na nikakiri kwamba siku hiyo alinikomoa na sitasahau.
 
Duuu roho mbaya
 
Ongera sana kamama
 
Mimi sikutaka kumpa maumivu makubwa nilitaka kumkaushia baada ya kufika stendi ila nikaona angeniona mswahili sana, nikaamua bora nimpe moyo😁😁

Sema wewe huyo ex wako alikunyoosha au mliachana vibaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…