Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

akili zako ziko makalioni
 
Sijaelewa wanaosema ni umalaya yaan nimeshindwa kuconnect na mada husika umalaya unaingiaje hapo? Ila watu bana utadhan hao wanawake zenu hawakutanag na ma x wao au sababu hawaambiagi? Au hao wake zenu hakuna mkamilifu msitoe hukumu
Hata mimi nashangaa hapa, sasa ningewaletea ule mkasa si ndo ingekuwa hatari sana 🥲🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…