Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

mpuuzi fulani hivi unatupotezea muda....Binti Malaya
Huyu siyo mpuuzi bali ni content crietor mmoja mzuri sana.

Angalia mada yake inavyokimbiza ina masaa awili, page tunaingia ya saba!

Watu wanampopoa, lakini inazidi kusonga kwa kasi ya upepo!

Tunashauriwa humu usichokipenda achana nacho na usichangie, unapita hivi kimya kimya.
 
Kwa jinsi unavyopenda kula hivyo, ni suala la muda tu kabla msururu wote wa hao maex wako haujapasha viporo

Hadi huyo ex ambaye hakuwa comfortable akahama meza na wana soon atawaacha wana atahama meza na wewe.
Hiyo kitu hakiwezekani maana siendagi tena hizo sehemu hatarishi
 
Umeshaachwa achwa hadi unaonekana kaman tambara bovu
 
Haya bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…