Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Wanawekeza, serikali inaruhusu free tech kuzalisha huku yenyewe ikiwasupport na kuhakikisja hakuna mtu anabaki nyuma, pia kukiwa na tech mpya yenye faida kwa taifa serikali inatoa funds.

Angalia kile kigari cha Masoud Kipanya!.
Mkuu ukitaka kujifunza haya, inakuaje, ujue najaribuu ku imagine yaani inakuaje kuaje ?, ten kwa ch kama.tz?
 
Mkuu ukitaka kujifunza haya, inakuaje, ujue najaribuu ku imagine yaani inakuaje kuaje ?, ten kwa ch kama.tz?
We're dark continent, unajua kwa nini? - kwa sababu...

• Nchi za kiafrika ndizo zenye malighafi inayoendesha dunia.

• Nchi za kiafrika ndizo zenye uwezo mkubwa kuliko za ulaya.

• Nchi za kiafrika ndizo zimekosa viongozi wenye nguvu na maamuzi magumu, kufanya haya mapinduzi ya kisayansi tunayoyaona.

• Nchi za kiafrika hazina viongozi wenye maamuzi magumu, hata akiwepo hataungwa mkono na wenzake.

• Mfano tuna chuma hapa Tanzania lakini hakina faida maana viongozi wanajua wanachofanya, chuma hicho ndicho kikifika china wanafanya mapinduzi kama inavyoona.

• Angalia DRC inazalisha madini yanayounda simu au zile gari za Elon, lakini angalia pale Goma kinachofanyika.

Mambo ni mengi sana, ila ingia uwanjani ufanye mapinduzi wewe mwenyewe, usitegemee nani sijui.
 
We're dark continent, unajua kwa nini? - kwa sababu...

• Nchi za kiafrika ndizo zenye malighafi inayoendesha dunia.

• Nchi za kiafrika ndizo zenye uwezo mkubwa kuliko za ulaya.

• Nchi za kiafrika ndizo zimekosa viongozi wenye nguvu na maamuzi magumu, kufanya haya mapinduzi ya kisayansi tunayoyaona.

• Nchi za kiafrika hazina viongozi wenye maamuzi magumu, hata akiwepo hataungwa mkono na wenzake.

• Mfano tuna chuma hapa Tanzania lakini hakina faida maana viongozi wanajua wanachofanya, chuma hicho ndicho kikifika china wanafanya mapinduzi kama inavyoona.

• Angalia DRC inazalisha madini yanayounda simu au zile gari za Elon, lakini angalia pale Goma kinachofanyika.

Mambo ni mengi sana, ila ingia uwanjani ufanye mapinduzi wewe mwenyewe, usitegemee nani sijui.
Sawa mkuu lakin ukiingia mwenyewejawa weupe c watakumaliza kwakuwa unataka kuharibu soko lao?, au kuwafungua akili waafrica?
 
Sawa mkuu lakin ukiingia mwenyewejawa weupe c watakumaliza kwakuwa unataka kuharibu soko lao?, au kuwafungua akili waafrica?
Nilitoa mfano wa kigari cha Masoud Kipanya na kile kigari chake.
 
Back
Top Bottom