Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Kwani wangapi wana elimu hapa Tanzania lakini hawajagundua chochote??!!! Kubali tu kuwa Bongo zetu Waafrika zimelala
Kwahiyo tuache kupeleka watoto shule, tusubiri tuwe kama china??

Unaichukulia poa elimu mzee, ila hata hapa jf upo kwasababu Melo ambae kaenda shule kakuletea hii platform, umejua kusoma unaunganishwa na dunia kwasababu ya elimu uliyopata.

Umeelewa kiwepesi hiyo treni inavyofanya kazi kwasababu ya elimu uliyopata.
Kama wewe elimu yako haikusaidii kitu basi akili yako binafsi ndio mbovu na sio akili za wote.

Afrika vyanzo vya matatizo ni vingi na elimu duni kwa wananchi ikiwa kimojawapo.
 
Hii ndo nguvu ya magnetic Levitation

Magnetic levitation (maglev) or magnetic suspension is a method by which an object is suspended with no support other than magnetic fields. Magnetic force is used to counteract the effects of the gravitational acceleration and any other accelerations.
Wewe tunaenda pamoja!.
 
Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Maglev ni kama treni inakuwa inaelea juu ya reli na si train ya kwanza, ziko china na japan nadhani na korea sema hii imearchieve speed zaidi lakini zote huwa zina speed kali.
 
mchina nyoko, kashampita jpan maana ya jp inaenda 600km/hr
mchina anazo treni kadhaa za maglev hii imeafikia kasi mpya. Hizi treni hata wazungu wenyewe wanazishangaa kama ni mfuatiliaji wa page za china na YT channels za matravellers maana hata huko marekani na ulaya hakuna kwa sababu ya ughali wa kuzitengeneza na kuziendesha.
 
Na hapo viongozi wao hawana chawa wakuwasifia ovyo wala kupongezana kulikopita kipimo.Wenzetu kazi kazi sio ngojera na pongezi za kila saa ata kwa kazi kiduchu.
 
Kwa ufupi iko hivi kanuni ya usumaku ni kwamba pande zinazofanana zinakinzana sasa hapa kinachofanyika ni kwamba mataruma na reli vinasumakishwa kwa umeme ambapo mataruma na reli vyote vinapewa hali ya ufanano kiusumaku kwahiyo vitakinzana na kwamaana hiyo treni ya aina hii mataruma yake ikitembea hayagusani na reli hivyo treni inakuwa kama inaelea kwenye mataruma na pale inaposimama inashuka na kugusa mataruma.
Itoshe kusema kuna binadamu vichwa vyao vinashughulika ipasavyo.
 
Unajua si jambo dogo mzee. Speed ya KM 1000 ni kasi ya kimaendeleo. Hiyo mwanza unaenda na kurudi kama vile unaenda mbezi tu hapo.

Hizi ndio vitu tunataka kuona katika uchumi wetu. Aisee nina uhakika mzee wetu mpendwa Magufuli angelikuwapo huku tungefikia tena ndani ya miaka michache ya baadae. View attachment 3064296View attachment 3064295
Unaota ndoto za Alinacha.
 
mchina anazo treni kadhaa za maglev hii imeafikia kasi mpya. Hizi treni hata wazungu wenyewe wanazishangaa kama ni mfuatiliaji wa page za china na YT channels za matravellers maana hata huko marekani na ulaya hakuna kwa sababu ya ughali wa kuzitengeneza na kuziendesha.
kwan mkuu nimesema hii ndo maglev train ya kwanza uchina?
 
Back
Top Bottom