Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kasi ya vyombo vya usafiri ina akisi kasi ya maendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."Sisi bado tunahangaika na matundu ya choo.
Hapo MAREKANI atajinyonga kwa wivu!!China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
😀 😀 😀 😀 dah kwa gharama hizo ni haiwezekani labda dunia ianze upya. Shida inakuja pale ambapo viongozi wetu ni kama wanatutambia wakiwa madarakani na v8 zao wakiwa wanapita vuu vuu speed kubwa wanaenda kuzindua mradi tuliojengewa na USAIDMkuu hiyo kitu gharama za kuijenga ndio changamoto kwa uchumi wetu. Agalia gharama za kujengatu kwa mile 1 (km 1.6) tu ni USD 60 million (kama bilioni 150 za kitanzania). Hatuwezi leo wala kesho.
The Shanghai Maglev, which happens to be the fastest train in the world, cost a whopping $1.2 billion dollars to build. At only 20 miles long, that is an incredible amount of capital cost. At that cost, it is about $60 million dollars per mile of track.
![]()
Cost of MagLev
The Shanghai Maglev, which happens to be the fastest train in the world, cost a whopping $1.2 billion dollars to build. At only 20 miles long, that is an incredible amount of capital cost. At that...maglevmn.weebly.com
Dodoma kote huko, hapo kingolowira tu..Yaani hilo treni linaenda kigoma na kurudi dar,lakwetu bado halijafika Dodoma 😀😀
HAPANA YESU DUNIA YOTE WANAMJUA... SEMA UNGESEMA wana miungu yao budha,dragon nk ndio wanavyoabuduWachina hawaamjni Mungu, Yesu wala shetani . Hivyo wanatumia akili zao mda wote
Sawa ila alikuwa mpenda maendeleoAlikuwa bonge la mshamba Fulani hivi!
Itachukua saa moja na dakika 12Dar- kigoma hiyo duuh hatari,japo mpaka kigoma kuna kama 1200 hivi
Kwenda Kigoma na kurudi Dar itachukua saa 2 na dakika 24!Yaani hilo treni linaenda kigoma na kurudi dar,lakwetu bado halijafika Dodoma 😀😀
Wanawekeza, serikali inaruhusu free tech kuzalisha huku yenyewe ikiwasupport na kuhakikisja hakuna mtu anabaki nyuma, pia kukiwa na tech mpya yenye faida kwa taifa serikali inatoa funds.Nime fall in love na sayansi jamani🔥🔥, wanawezaje wezaje hawa?
Wenzetu serikali yao inawasupport kwa tech mpya pamoja na kuwapa funds.Nime fall in love na sayansi jamani🔥🔥, wanawezaje wezaje hawa?
tumia neno karne sio miongo. sisi huko kufika karne zipite 10Dah! Tanzania kufika huko sijui inahitaji miongo mingapi?
Hongera kwao, hawa sasa ndio wameupiga mwingi.!!
alikua bwege tu. nchi yetu haijawahi pata kiongozi. hata nyerere alikua hovyo.Sana tu, JPM sifa ndio zilikuwa nyingi na umimi uliopitiliza. Hizo ndege tu zimetuacha na madeni, bado hasara kila mwaka na hazina ufanisi wowote. Alikuwa na uthubutu ila hakuwa strategic wala hakupenda kushauriwa, ilikuwa ni one man show.
Maglev (magnetic levitation) trains huwa hazigusi chuma huwa zinaelea juu kwa juu zinatumia principle ya eddy current levitation kukamilisha hilo.Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Hiyo hiyo wala sibadilishi 😹tumia neno karne sio miongo. sisi huko kufika karne zipite 10
Wakati sisi tuko kwa Mwaposa kutafuta upako, na tahasusi kuongezeka za dini kuliko science.Kweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Tahasusi gani za kidini zimeongezeka? Ni huko A level?Wakati sisi tuko kwa Mwaposa kutafuta upako, na tahasusi kuongezeka za dini kuliko science.