Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Sisi hata kupiga lami bado tunatumia wazungu na wachina, hakuna kitu kinaharibu pesa za kigeni kama kulipa makampuni ya nje kutengeneza barabara, tuache huu ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyTo me, Magufuli is Overrated.
Treni inatembèa ndani ya bomba mkuuKwa Kasi hiyo sidhani kama wameweka hivi vifensi vyetu vya waya
Huyò uliýemtaja mwenyewe alikua hawezi kutofautisha r na lAliitwa Magufuli. Ukishajifunza jinsi ya kutofautisha l na r njoo tukupe ukweli wa hili jambo
Tukifika huku watakuwa wameshagundua namna Mwanadamu anavyoweza kupaa🤣🤣🤣🤣Waafrica tukifika level hii basi wachina wenyewe hawatokuwa tena wanatumia vyombo vya usafiri bali wenyewe ndo watakuwa usafiri.
Je, Kuna mtu yeyote mwenye elimu ambaye amewahi kugundua kitu cha maana hapa Tanzania? Ishu ni akili sio elimu.Hii kitu niliisomaga zamani kidogo , BBC wakiandika kua miaka ijayo huenda tukawa na treni inayopita kwenye ombwe kwa kasi..
China hana ajizi, katekeleza.
Sisi tuendelee kusema elimu haina umuhimu, bora vijana waache vyuo wawe machinga.
Ati nini?? Unadhani hao wachina wameamka tu kisa wana akili wakaunda hilo dude??Je, Kuna mtu yeyote mwenye elimu ambaye amewahi kugundua kitu cha maana hapa Tanzania? Ishu ni akili sio elimu.
Kwani wangapi wana elimu hapa Tanzania lakini hawajagundua chochote??!!! Kubali tu kuwa Bongo zetu Waafrika zimelalaAti nini?? Unadhani hao wachina wameamka tu kisa wana akili wakaunda hilo dude??
Hiyo science mjomba, dude linaenda 1000km/h halafu useme eti akili bila elimu, una utani wewe.
Maendeleo makubwa ya China yalipatikana baada ya kukamilisha mifumo ya usafiri ya kupunguza muda wa kuwa safarini kwa mizigo na abiria.China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
Mjapan alianza nalo hilo 800 kph.mchina kajiongeza copy.
Hii bado sijaelewa mkuu, fafanua zaidi.Kwa ufupi iko hivi kanuni ya usumaku ni kwamba pande zinazofanana zinakinzana sasa hapa kinachofanyika ni kwamba mataruma na reli vinasumakishwa kwa umeme ambapo mataruma na reli vyote vinapewa hali ya ufanano kiusumaku kwahiyo vitakinzana na kwamaana hiyo treni ya aina hii mataruma yake ikitembea hayagusani na reli hivyo treni inakuwa kama inaelea kwenye mataruma na pale inaposimama inashuka na kugusa mataruma.
Zingatia neno inasemekana, ni uongo sanaInasemekana wakati tunapata uhuru tulikuwa sawa na China. Huu ni uongo
Marekani ile nchi deep state Ndio wanaiharibu , wanaotafuna pesa za federal government kwenye mambo ya kipuuzi kama vita , racket za kusomba pesa za umma na kunufaisha wazalishaji wa silaha .
Mmarekani hajashindwa kutengeneza hii kitu ni vile Tu failure ya sera zao humo .
Maana hata miundombinu yao ni poor na wanazidiwa na nchi nyingi zilizoendelea ,si train Tu , hata barabara nk .
Biden na ile infrastructure bill sijui walifikia wapi , walikuwa wamepropose serikali yao ifanye heavy spending kwenye miundombinu
Ne da katafute huko,miaka 10 sasa hizo treni zipo magnetic.Kacopy nini? Na hilo la Mjapan liko wapi?
Hapo ni wapi? Au unafikiri wote humu tunaishi sehemu moja?Kweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!