ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,035
- 920
Sahihi mkuu,hii technology,wheels na rails hazina contact.Yaani magurudumu yanakuwa suspended kwa gepu fulani.Hii inatumia nguvu ya usumaku kama vile unapotaka kugusanisha Sumaku N kwa N au S kwa S,hamna vyuma kusuguana.Vyuma havisuguani mkuu,wanatumia tech ya MAGnetic LEVitation (MAGLEV) uliza zaidi kuhusu hiyo tech, ni ya ajabu kidogo