The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
watanzania basi tu.Now you know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watanzania basi tu.Now you know
Haitumii reli. Inaelewa kwenye sumaku. Gugu utaona inavyofanya kazi.Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Hata ukinuna, ukweli ndiyo huo.Bora umeamua kuwa mkweli maana kwakuwa ni wewe peke yako haijalishi.
You are a nobody.
Hii una amka saa 12:00 asubuhi Mbeya unaoga unapanda treni saa 12:30 asubuhi kisha unakunywa chai Dar pale Posta Ilala CBD saa 1:35 asubuhi.kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
Ina magurudumu ya kuanzishia mwendo then yanaingia ndaniHaina magurudumu hiyo, na inapoanza mwendo vyuma havigusani kivile na haitoki relini
Wasomi wetu wamesaliti taaluma zao wamekimbikia siasa.Raisi wao aliwahi kusema biashara pekee tunayoiweza waafrika ni kujenga makanisa ya mabilioni na kuwa very superstitious. ila tumeitelekeza sayansi na teknolojia, anatushangaa sana.
Hilo treni hata Marekani hawana! Dereva hahitaji kuona mbele, treni linaendeshwa kwa mahesabu matupu.Unajua si jambo dogo mzee. Speed ya KM 1000 ni kasi ya kimaendeleo. Hiyo mwanza unaenda na kurudi kama vile unaenda mbezi tu hapo.
Hizi ndio vitu tunataka kuona katika uchumi wetu. Aisee nina uhakika mzee wetu mpendwa Magufuli angelikuwapo huku tungefikia tena ndani ya miaka michache ya baadae. View attachment 3064296View attachment 3064295
Hii ni zaidi ya bullet train nini?!China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
For sure, Afrika kuwafikia wachina sio leo. Nimeamini everything starts with thinking(mind), sisi huku ni kazi ya kuendekeza uchawa na kusema Mama anaupiga mwingi..... Poor
OkIna magurudumu ya kuanzishia mwendo then yanaingia ndani
Si mchezo..!!Hii kitu ina mwendo hatari
Hakuna friction inaelea magnetism like poles repel kwahio ukizima na kuwasha zile magnets zinavuta kwa mbeleKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
🤣 Humo hashuki mtu yani, kituo Dar kituo MoroKweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
KUIFIKIA HIYO NI NDOTO YA ALINACHA..!!sijui itatuchukua watanzania miaka mingapi ili kufikia hatua hii?
Magnetic Levitation. Bonge la technology na nadhani ni cost efficient kuliko ya mataruma na SGRWewe unaijua maglev?
Hiii umedhihirisha kuwa hauna uelewa unachokichangia hapa.
Nimecheka sana aisee unamaanisha hiyo ni MAGLEV ya bongo au
Hakuna chuma kinasugua mwenzie. Ngoma inanyanyuka kiduchu hewani to kwenye reli. Ni mambo ya kusumakishana tuKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Aagh wapi. Bundi na ngedere watakuwa washasema nalo hapo Ruvu tu..!!la kwetu litakuwa linakaribia dumila