Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Sisi pia tumepiga hatua kiasi chake pamoja na changamoto zetu za ufisadi na Umasikini tulionao
Miaka ya 1961 wengi wa Watanzania ilikuwa tunatembea Kwa miguu
Baadaye 1975 ndiyo baadhi wakaanza kuendesha Baiskeli Tena Kwa uchache mno
Miaka ya 1985 wachache wakaanza kuendesha pikipiki hasa wafanyakazi
Miaka ya 1995 wenye uwezo wakaanza kununua na kuendesha magari binafsi
Mwaka 2024 Kwa mara ya kwanza tukaanza kupanda treni la Mwendokasi 🙌
Hopefully wale watakaojaaliwa kufika Mwaka 2100 huenda wakaanza kupanda hizo Treni zenye hiyo spidi ya 1,000km/h kutoka Tanzania 💪
Miaka ya 1961 wengi wa Watanzania ilikuwa tunatembea Kwa miguu
Baadaye 1975 ndiyo baadhi wakaanza kuendesha Baiskeli Tena Kwa uchache mno
Miaka ya 1985 wachache wakaanza kuendesha pikipiki hasa wafanyakazi
Miaka ya 1995 wenye uwezo wakaanza kununua na kuendesha magari binafsi
Mwaka 2024 Kwa mara ya kwanza tukaanza kupanda treni la Mwendokasi 🙌
Hopefully wale watakaojaaliwa kufika Mwaka 2100 huenda wakaanza kupanda hizo Treni zenye hiyo spidi ya 1,000km/h kutoka Tanzania 💪