Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

You might be right! Ila kumbuka JPM alikuwa na ndoto ya kuona TZ inapiga hatua. Hili kubali au kataa, hiyo ni husda wako kwake. Usisahau wakati ule mlikuwa mnampinga kuwa yeye anaangalia maendeleo ya vitu si watu. Hata TL alikuwa anaipigia kelele. Wenye akili tulikuwa tunawaeleza kuwa maendeleo ya nchi ni vitu (infrastructure) kwanza
JPM hakuwa na mipango endelevu, haswa kwenye econimic development, ingefika kipindi angekata pumzi tu. Mikopo aliyokuwa anakopa bila ya kuendeleza vyanzo vipya vya makusanyo, asingetoboa mbali kabisa.
 
Duh kufika huko inawezekana kabisa ila sasa kwa hii aina ya watawala wetu sio sasa labda baada ya miaka 2000 ipite......
Mkuu hiyo kitu gharama za kuijenga ndio changamoto kwa uchumi wetu. Agalia gharama za kujengatu kwa mile 1 (km 1.6) tu ni USD 60 million (kama bilioni 150 za kitanzania). Hatuwezi leo wala kesho.
The Shanghai Maglev, which happens to be the fastest train in the world, cost a whopping $1.2 billion dollars to build. At only 20 miles long, that is an incredible amount of capital cost. At that cost, it is about $60 million dollars per mile of track.
 
Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.

Wachina ni watu wa vitendo sio theory

Waliogundua physics na engineering degree wenyewe hawana hiyo treni. Hao waliokufundisha msuguano walikudanganya tu. Mchina ana akili yake ya vitendo vya ukweli

Wenye Havard , oxford , MIT wenyewe hawana hiyo treni..
 
Magufuri hamna kitu ndiye chanzo cha matatzo mengi sana yule hakuwa kiongozi kbs kama alikuwa na nia ya dhati na taifa hili na watz angekubali kuishi vema na wale wanaomkosoa tena ingemsaidia sn
Pili angeleta katiba mpya si katiba hii ya ku save interest za chama chake na yeye bnafsi
Tatu angejiweka kando na ccm awe rais si kuleta uccm wake hapa fatilia hata ziara zake nyng utagundua hilo

Nne kitendo cha kutaka kutawala milele bila kikomo hakika alistahili kuenguliwa kama ilivyotokea angetuleta matatzo makubwa sn ya waasi

Taifa hili lilipata kiongoz 1 tu naye ni Nyerere hakuwa mroho wa madaraka hakujitajirisha na hata alipoachia madaraka alikaa kando kbs alitunza raslimali za taifa hili kwa maslahi ya kzazi kijacho.
Magufuri alikuwa muongo sn anadanganya watu na kujitangaza kila uchwao lakini kiuhalisia he was overrated tu.
Niko na wewe mkuu
 
Back
Top Bottom