Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo lazima watumie vyuma kama Titunium, Tungsten vyenye highest melting point. Hivyo gharama ya hiyo train haisemeki.Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
😁😂Yaani hilo treni linaenda kigoma na kurudi dar,lakwetu bado halijafika Dodoma 😀😀
Sisi ngoja tuendelee kupambana na Ngedere na Bundi kwanza kwenye Treni ya MchongoChina imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
Balaa tupu 😂😂😂1000kms/h ground speed, 😆😆😆 ukishuka unaweza ukapata wenge,
I wonder how powerful electromagnets are being used,Kwa ufupi iko hivi kanuni ya usumaku ni kwamba pande zinazofanana zinakinzana sasa hapa kinachofanyika ni kwamba mataruma na reli vinasumakishwa kwa umeme ambapo mataruma na reli vyote vinapewa hali ya ufanano kiusumaku kwahiyo vitakinzana na kwamaana hiyo treni ya aina hii mataruma yake ikitembea hayagusani na reli hivyo treni inakuwa kama inaelea kwenye mataruma na pale inaposimama inashuka na kugusa mataruma.
Watu wenyewe tulionao ndiyo hawa karne hii wanawaza na kushangaa fisiHizi ndio vitu tunataka kuona katika uchumi wetu.
To me Magufuli was the top the best hakuna mtu wa kulinganisha nae. HAYUPOO na bado hajatokea.To me, Magufuli is Overrated.
Kweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Kweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Kwa hiyo asipofanya usa hakuna mwingine anatakiwa kuanza....kichwani mwenu huwa kuna nini....kwamba dunia hii kaumbiwa yeye peke yake...au yeye ndie mwenye vichwa wengine wote hamnazo!?Hio treni hata USA haipo, ndio aje aiweke Magu bongo
Acha utani mkuu, kwamba JPM angekuwepo tungeliweza ndani ya miaka michache? Si kweli hata kidogo, hiyo ni ndoto.Unajua si jambo dogo mzee. Speed ya KM 1000 ni kasi ya kimaendeleo. Hiyo mwanza unaenda na kurudi kama vile unaenda mbezi tu hapo.
Hizi ndio vitu tunataka kuona katika uchumi wetu. Aisee nina uhakika mzee wetu mpendwa Magufuli angelikuwapo huku tungefikia tena ndani ya miaka michache ya baadae. View attachment 3064296View attachment 3064295
Wakuu mnajiaibisha!Hapo lazima watumie vyuma kama Titunium, Tungsten vyenye highest melting point. Hivyo gharama ya hiyo train haisemeki.
Zaidi ya miaka 200 huko au tusiwafikie kabisa.Mtwara dar nusu saa duh aisee itachukua miaka 2000 kuwafikia china au 200 wakuu?