kinenekejo
Senior Member
- Oct 31, 2011
- 176
- 51
acha kudanganya watu,E ya udsm ndo sawa na 'A' ya saut.
hilo halina ubishi. wale vilaza wote waliokosa UDSM, Mzumbe, nk huwa wanaenda SAUT, hasa wale wenye div 3, div 4 wanakuwa na pre entry program ya kama mwezi kuzugia. in short hawa ni wengi ni watoto wa vigogo, na wamekuwa katika ajira pia hupata shavu, ila perfomance kazini ni upepo/ile hewa inayotoka kwenye masaburi:typing: