naona sasa jamiiforum inaanza kua ya kitoto iliyokosa maantiki........sasa kama vyuo vya kata wewe inakuuma nn?watu hawaangalii degree yako umeipata ktk chuo cha kata au la?nows dei watu wanaangalia umetoka na nn kichwani mwako na je unakitumia icho kitu ulichotoka nacho chuo ktk soko la ajira.....acha ujingaaaa wewe kwa uzii wakooo wa kitotoo