Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

hakuna jila la kiarabu bali kuna majina ya kiislamu....jina ni jina ila mtume amefundisha watu kuitwa kwa majina wayapendayo...kuna majina hupendeza muislamu akiitwa kwayo.
Una uhakika Hilo jibu ulilo jibu linafaa kupokelewa na mtu mwenye akili timamu na ubungo unaofikiri sawa sawa. Ambao haujaliwa na fangasi ya Dini?
 
Una uhakika Hilo jibu ulilo jibu linafaa kupokelewa na mtu mwenye akili timamu na ubungo unaofikiri sawa sawa. Ambao haujaliwa na fangasi ya Dini?
kasome kiswahili maana ya nomino kisha uje uniambie jina ni kiarabu
 
Huu ujinga wa kuupromoti uislamu ndy unauita ndoto? Usitufanye sisi watoto wadogo ujue

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi umeandika kitu kimenisisimua sana nakiri kabisa Niko njia isiyo sahihi baada ya kuanguka dhambini miaka mingi iliyopita, nilikuwa namtumikia Mungu lkn shetani akanipiga ngwara aisee

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ziwa la moto liko na wewe usipotubu na kurudi kwa yesu
 
No wew hukuwa mkristo 99.1%
 
Mashallah
Ushauri wangu kwako ndugu yangu, ni kuelekeza juhudi zako hasa katika kuusoma na kuufahamu Uislamu, hili ndilo litakalo ijenga imani yako sawasawa.
Maana imani bila ya elimu ya kujua unachokiamini inakuwa haina mashiko, hivyo jikite kwenye kuisoma dini yako.

Allah akupe tawfiiq.
 
Amin
 
Hongera sana. Utanukiwa mabikra 72

Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli
 
Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli
 
Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli
 
Napenda ngono sana. Hao mabikra 72 wapo na mimi nislimu?
Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli
 
Duu yaani ukadanyanyika hivi hivi. Kwa sababu Allah katika majina yake 99 majina matano yathibitisha Allah ndiye Shetani Mwenyewe na huyo Mtume Mohammad alipenda sana ngono mpaka akaoa mtoto wa miaka 6, Aisha, na Akampiga tongue kiss mtoto mdogo wa kiume, alifumaniwa mara kadhaa tu alifanya ngono na kijakazi Maria, alikuwa muuaji basi kila baya lilikuwa la kwake. Haya wewe endelea tu huko
 
Dini zote ni njia ya kumfikia Mungu hakuna tatizo kubadili dini… sisi wakristo tunaamini kwamba YESU ndiye njia, kweli na uzima
 
Wow akhera patamu sana. Umeniongezea ari nifike.
Maana nlpokuwa Kafiri la kikristo hata skupapenda mbinguni Yani kukesha unaimba tu milele na milele inaboa ni Bora nife tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…