Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

Kajengeni kwanza ofisi ya chama makao makuu ndiyo muanze kuhoji Ndege,ama na sisi tuanze kuhoji zuruku ya chama inaenda wp?ukigusa hapo utasikia "account zetu zote zimefungwa"hivi ninyi watu mmnadhani kila mtu nimjinga,?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hapo tunapo kosea kipaumbele majengo sio kuwekeza kupata wanachama kwanza na ndiyo maama Makaburu walipo inunua NBC waliuza majengo kuongeza mtaji nikuulize wewe ni majengo mangapi mapya tangu vyama vingi vianze kwa ruzuku kubwa upatayo umejengea?
 
Kwa maoni yako upo sahihi - maana kama michango ya CHADEMA na mikopo waliyo kopa kuwatoa wafungwa wakina Mbowe gerezani ingeelekezwa kununua mashine za kupima CORONA, tungekuwa na 12!
Wakina Mbowe warudishwe gerezani, tununue hivyo vifaa - maana za Mashinji na Msigwa hazitoshi. Tunashindwa nini? CORONA haina chama.
Ukikubaliana na hili nitajua unajitambua na kweli maoni yako si kejeli.
Pesa ya kuwatoa wakina mbowe ilikuwa michango ya wananchi. Watu walitoa 1000 hata 500 mpaka zikatimia. Wakiamua leo kuchangisha pesa kununua izo mashine inawezekana sana ndani ya saa 48 pesa ikatimia.

Ila upande wa serikal na ccm wao pesa ipo tu ni ya kuvuta. Haihitaji kuchangisha. Ni swala la kupiga simu hazina muamala unasoma.

Wewe kma unaakili timamu kipi unaona ni bora. Kuchangisha wazalendo ( masaa 48) au kuvuta pesa hazina( dakika 15) ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa Mkuu,Tena wangerudisha na zile 38 zetu tukizo mlipia Bwana Yule,maana ukoo mzima walijikusanya wakapata 2t,tufanye mahesabu ya haraka ukoo una wanaukoo 200, that means kila mwanaukoo alitoa sh 1000,halafu umeshalipiwa unatoka una bwatuka
Kwa maoni yako upo sahihi - maana kama michango ya CHADEMA na mikopo waliyo kopa kuwatoa wafungwa wakina Mbowe gerezani ingeelekezwa kununua mashine za kupima CORONA, tungekuwa na 12!
Wakina Mbowe warudishwe gerezani, tununue hivyo vifaa - maana za Mashinji na Msigwa hazitoshi. Tunashindwa nini? CORONA haina chama.
Ukikubaliana na hili nitajua unajitambua na kweli maoni yako si kejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amedonate 500,000 test kits, na 1million masks kwa USA. Je wajua kabla ya hapo serikal ya USA ilikuwa imesambaza hizi kits ngapi na maski ngapi?

Je serikal ya Tz mpaka inapokea msaada ilikuwa imefanya juhudi gani interms ya kusambaza test kits na masks?



Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!
 
Pesa za umma zinapotumika bila kuzingatia vipaumbele muhimu ndo shida inaanzia hapo, ngoja tuendelee kutegemea kudra za Mwenyezi
 
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika vizuri sana. your greater thinker.

Ila umeharibu kidogo umeandika kisiasa sana. Ijapokuwa huu ni wakati wa kupima akili kubwa na ndogo, maamuzi magumu au ya kigugumizi.

Pia ni wakati wa kuweka imani kwa serikali yetu au ku demotion serikali hii kwa hatua na uharaka wa kushughulika na hili gonjwa hatari.
 
Mdudu yupo dar. Nawahurumia watumiaji wa mwendokasi na daladala
Screenshot_20200326-093800_Instagram.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukisema waafrika wana akili ndogo kuna watu wanahisi tumewadharau
 
Back
Top Bottom