Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makenge ya kijani hayo kusikia kwao mpaka yawakute.Hayo sio maombi,Huo ni unabii,Ni jambo ambalo lipo mbele yake,lazima litokee na kama hatamtafuta Lema kujua Mungu ana ujumbe gani basi ajiandae
Hata Sabaya aliambiwa akadhani utani ,Mwendazake ndio aliambiwa mapema zaidi akashupaza shingo na kuamuru afungwe,yakamkuta yakumkuta
Ila kupiga risasi watu ndio nzuri, wote tutakufaHii siyo nzuri kabisa!
Kwani mtu akiota ndoto ya utabiri wa jambo flani ni kosa?
Lema ni NABII , MaCCM mnaponzwa na roho zenu mbaya. Mnajifanya MAKENGE mno.Lema atakuwa mchawi!
Wanaoombea vifo na wauwaji kamili nani wabaya?rejea risasi za lisu
MaCCM akili zao hazina akili.Kwani mtu akiota ndoto ya utabiri wa jambo flani ni kosa?
Mbona babu wa loliondo alioteshwa dawa mkaenda kunywa?
Acha upumbav,Lema ana wadhifa gani CHADEMA?Chadema ni watu na viongozi wao ni akina Lema.
Ulikua Una Gari au Unayo?Kama kwenye kazi yake ya wizi wa magari hakufa, anamuombea nani kifo
Kwa hiyo unatakaje? I am proud of my roots..hiyo kusema huyu ni mchagga mwenzako umeulizwa? kuendekeza ukabila ni ushenzi na upumbavu.keep it
Je, wale ambao hawakuombea wa upande wa pili kifo, ila waliua kabisa?
Ni nani alitabili kuwa lema atakimbia nchiHayo sio maombi,Huo ni unabii,Ni jambo ambalo lipo mbele yake,lazima litokee na kama hatamtafuta Lema kujua Mungu ana ujumbe gani basi ajiandae
Hata Sabaya aliambiwa akadhani utani ,Mwendazake ndio aliambiwa mapema zaidi akashupaza shingo na kuamuru afungwe,yakamkuta yakumkuta
Ngoja tuu nieendeleee kunywa k vanga maanake si kwa u tani hiziNzuri kabisa ni hii ya kulaghai na kutapeli wananchi?
Kwenye kampeni👇😁😁😁View attachment 2072389Baada ya kuingia Ikulu👇🐒🐒🐒View attachment 2072391
Tofautisha kati ya maombi na utabiri.
Give me beerI hate CCM
Wengine walikuwa wanashangilia kabisa Lissu alipopigwa risasi na akahakikisha hapewi hata stahiki zake wakati akiwa bado hajapona na anapata matibabu.
Na wewe utakufa
Kamuulize Lema mkuuNi nani alitabili kuwa lema atakimbia nchi
Je yeye anajitabilia vipi? nae atwanbie utabili wake mwenyewe.
Kwa hiyo aliyoyasema jobo ndugai ni msimamo wa ma ccm wote???Chadema ni watu na viongozi wao ni akina Lema.