Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250

☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu dhidi ya viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

20220919_182150.jpg

Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.



UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.

 
Walipokaa Berlin wakatugawa mbona hatukulalamika, acheni zenu tena baada ya uhuru wakatuuliza kama hiyo mipaka tuibadilishe tukasema "iacheni tu".
Tuache unafiki "wao"ndio waliotutengenezea mataifa haya ya leo.
downloadfile-4.jpg
 
Mmm wafrika kwa kulalamika ndio namba moja. Huo ni msiba hawajaenda harusini. Kitendo cha kuwatambua sio jambo dogo. Walikwa ni wengi kuwahudumia kwa wakati mmoja ni ngumu. Na hilo sio basi ni gari maalum linalobeba viongozi kwa wakati mmoja.
 
View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
Hivi wale walizi wa Bitozo Hangaya wamekaa wapi.....Hawaonekani!!😳
 
Back
Top Bottom