Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hustler wangemweka hata kwenye mkokoteni hana shida
Kumbe wamepanda basiMmm wafrika kwa kulalamika ndio namba moja. Huo ni msiba hawajaenda harusini. Kitendo cha kuwatambua sio jambo dogo. Walikwa ni wengi kuwahudumia kwa wakati mmoja ni ngumu. Na hilo sio basi ni gari maalum linalobeba viongozi kwa wakati mmoja.
Wakat mnawakabidh dhahab hamkuyajua hayaHapo ndipo inapoonekana tofauti kati ya taifa kubwa kiuchumi na madogo, sioni sababu kwanini tunalalamika wakati ukweli wa hali zetu tunaujua, tuache kujikuza, sisi ni omba omba tu kwa hao jamaa.
HatarView attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.
👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.
View attachment 2361928
Vip konda wa kutoza nauli?Kuna kuchimba dawa pia
Haha wa Zimbabwe masikiniVip konda wa kutoza nauli?
Kagame ndio kawaaibisha kuwapiga picha [emoji1] [emoji1787] [emoji23]Hivi kwenye hiyo bus kagame na mseven wamo kweli? Walienda? Sidhani wale ni wajeuri
Haya marais ya kiafrica yasiyojielewa yalipaswa kusafirishwa kwenye malori.View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.
👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.
View attachment 2361928
Africa ni Africa tuu,utashangaa na wao wanatoa rambirambiView attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.
👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.
View attachment 2361928
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo mbona wamependelewa, hao hata wangewaacha watembee kwa mguu Ni Jambo jema zaidi
Na bado anafuraha kabisaaaaaaaa!!!!Kuna mmama hapo kapata siti ya mwisho kabisa masikini [emoji24]
Akili kubwa, ili yeye asionekane😅Kagame ndio kawaaibisha kuwapiga picha [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Kidding
Natania wasije wakanibeba jamaa zetu hahaAkili kubwa, ili yeye asionekane[emoji28]
Hahaha nimecheka balaaView attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.
👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.
View attachment 2361928