Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Hustler wangemweka hata kwenye mkokoteni hana shida
Ruto-wheelbarrow-1.jpg
 
Mmm wafrika kwa kulalamika ndio namba moja. Huo ni msiba hawajaenda harusini. Kitendo cha kuwatambua sio jambo dogo. Walikwa ni wengi kuwahudumia kwa wakati mmoja ni ngumu. Na hilo sio basi ni gari maalum linalobeba viongozi kwa wakati mmoja.
Kumbe wamepanda basi
 
Hapo ndipo inapoonekana tofauti kati ya taifa kubwa kiuchumi na madogo, sioni sababu kwanini tunalalamika wakati ukweli wa hali zetu tunaujua, tuache kujikuza, sisi ni omba omba tu kwa hao jamaa.
Wakat mnawakabidh dhahab hamkuyajua haya
 
View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.


UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.

View attachment 2361928
Hatar
 
Tu wategemezi kuchumi, kijamii, kitamaduni, kisiasa, kitechnolojia, kiutawala. wenzetu wako mbali sana.
HATUWEEZI KUFORCE KUFANANA NAO.
HAPO WAMEKWENDA SIO KAMA WANA UCHUNGU SANA NA YULE AJUZA, ILI WASIJE KOSA MISAADA
 
View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.


UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.

View attachment 2361928
Haya marais ya kiafrica yasiyojielewa yalipaswa kusafirishwa kwenye malori.
 
View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.


UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.

View attachment 2361928
Africa ni Africa tuu,utashangaa na wao wanatoa rambirambi
 
View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.


UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.

View attachment 2361928
Hahaha nimecheka balaa
 
Back
Top Bottom