Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Hawa walikuwa na akili kutupita sisi. Trust me.Kupanda watu ndio Tatozo
View attachment 2361871
Sasa hivi nausomi wetu uchwara lkn tunawapigia makofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa walikuwa na akili kutupita sisi. Trust me.Kupanda watu ndio Tatozo
View attachment 2361871
Halafu kaziba mdomo, sijui hakubeba PK🤣Kuna mmama hapo kapata siti ya mwisho kabisa masikini [emoji24]
Sijui ni kwanini tuliutoa huu MwambaHawa walikuwa na akili kutupita sisi. Trust me.
Sasa hivi nausomi wetu uchwara lkn tunawapigia makofi
Hili jambo ni la kawaida sana lakini sisi wenyewe tunalifanya kuwa Jambo kubwa...View attachment 2361801
[emoji1489]Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu kuhusu viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.
[emoji1484]Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...
View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.
Hustler wangemweka hata kwenye mkokoteni hana shidaHustler hana hata habari!
Si atakataaChondechonde wasije kumtongoza tu madam wetu president ....Naona hao madume yanavyomkodolea mimacho
🤣🤣🤣Kuna kuchimba dawa pia
wamefaulishwa kwenye kifodiHivi wale walizi wa Bitozo Hangaya wamekaa wapi.....Hawaonekani!!😳
Naskia hua ana kawaida ya kutapika akipanda gari ndio maana amekaa siti ya dirishani ili mtapiko upite chapKuna mmama hapo kapata siti ya mwisho kabisa masikini [emoji24]
Tatizo aliitamani Kagera, ikabidi tumyooshe
Dah kama unadhani hy ndio sababu bc nakupa pole mkuuMwacheno Biden aende na ndinga zake nguvu ya kutembea hana jamani
Akija huku anajifanya vaeni maskHalafu kaziba mdomo, sijui hakubeba PK🤣