Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Natania wasije wakanibeba jamaa zetu haha
Hamna ni utani tu.

Hivi familiya wakimaliza kuzika wataonesha hata kaburi au ndo imeisha hiyo.?

Hivi nao wazungu wanatoa salamu za mwisho kwa kupita kwenye jeneza na kuchungulia au?
Leo nilikuwa busy so sijaangalia sana tv niliacha waingiza mwili na misa.
 
Hamna ni utani tu.

Hivi familiya wakimaliza kuzika wataonesha hata kaburi au ndo imeisha hiyo.?

Hivi nao wazungu wanatoa salamu za mwisho kwa kupita kwenye jeneza na kuchungulia au?
Leo nilikuwa busy so sijaangalia sana tv niliacha waingiza mwili na misa.
Hiyo ndio imetoka yaani saa moja na nusu usiku ndio ndugu tu walibaki kumzika

Unaweza kuona makaburi ya waliotangulia zamani hapo

Kitu cha ajabu watu hawajui ni kuwa mazishi ya Malkia kwa ridhaa yake Duke aliipanga maiti iagwe Westminster Abbey ambapo ni sehemu kubwa sana kwa watakaokuja kuaga
Na kuzikwa Windsor

Kwa hiyo sio maandalizi ya wiki wala miezi bali miaka 20

Sasa cha kujiuliza kwa nini wamemuacha Mume wake bila kumzika kwa zaidi ya mwaka?

Je yote haya DUKE anayajua?
Kuwa Malkia atazikwa na Mume wake
Wenzetu wako ahead of time
Hapo Westminster Abbey wamezikwa watu mashuhuri sana Kama Sir Isaac Newton na Charles Darwin na pia Professor Steven Hawkins ambae majivu yake yamewekwa hapo

panaitwa Scientists corner

Ila mambo yao ya ajabu sana ukifuata but very interesting
 
Wakuu

Mnadhani kuwahi siti ya dirishani ni jambo dogo?

Kapambania sana maana ukikaa dirishani ukitaka kununua chochote ni chap chap.

Ukiwa ugenini na ukapambana kuwahi siti ya dirishani ni suala la kupigiwa mfano sana. Ndio ukakamavu wenyewe.

IMG_0568.jpg

IMG_0570.jpg
 
Hiyo ndio imetoka yaani saa moja na nusu usiku ndio ndugu tu walibaki kumzika

Unaweza kuona makaburi ya waliotangulia zamani hapo

Kitu cha ajabu watu hawajui ni kuwa mazishi ya Malkia kwa ridhaa yake Duke aliipanga maiti iagwe Westminster Abbey ambapo ni sehemu kubwa sana kwa watakaokuja kuaga
Na kuzikwa Windsor

Kwa hiyo sio maandalizi ya wiki wala miezi bali miaka 20

Sasa cha kujiuliza kwa nini wamemuacha Mume wake bila kumzika kwa zaidi ya mwaka?

Je yote haya DUKE anayajua?
Kuwa Malkia atazikwa na Mume wake
Wenzetu wako ahead of time
Hapo Westminster Abbey wamezikwa watu mashuhuri sana Kama Sir Isaac Newton na Charles Darwin na pia Professor Steven Hawkins ambae majivu yake yamewekwa hapo

panaitwa Scientists corner

Ila mambo yao ya ajabu sana ukifuata but very interesting
Hapa nimeelewa kumbe lazima wazike Windsor. Nilikuwa nawaza inawezekana vipi kuzika Westminster Abbey?

Wazungu bana yaan wanapangaga kifo cha mtu miaka 20 kabla🤣

Usikute mke na mme watazikwa kaburi moja🤭
 
Hahaha nimecheka balaa


Huyu kamaanisha abilia wa mabasi huwa na tabia hizi, sasa sijui hao viongozi wetu huko 😁😂😂😂
 
Hapa nimeelewa kumbe lazima wazike Windsor. Nilikuwa nawaza inawezekana vipi kuzika Westminster Abbey?

Wazungu bana yaan wanapangaga kifo cha mtu miaka 20 kabla[emoji1787]

Usikute mke na mme watazikwa kaburi moja[emoji2960]
Hapana
Wafalme wengi sana wwmezikwa Westminster Abbey ila wengine kama Babu na Bibi yake wamezikwa Windsor
Pia George wa Tatu wa 4 na wa Tano wamezikwa Windsor

Ila Malikia alipenda Windsor maana ndio alipokulia tangu mdogo

Kweli watazikwa pamoja wamekumbatiana [emoji1]
Wazungu sio wenzetu wana mengi hatuyajui kuna makafara pia
 
Hapana
Wafalme wengi sana wwmezikwa Westminster Abbey ila wengine kama Babu na Bibi yake wamezikwa Windsor
Pia George wa Tatu wa 4 na wa Tano wamezikwa Windsor

Ila Malikia alipenda Windsor maana ndio alipokulia tangu mdogo

Kweli watazikwa pamoja wamekumbatiana [emoji1]
Wazungu sio wenzetu wana mengi hatuyajui kuna makafara pia
Tulisimuliwa kuwa wafalme / machifu/ watemi etc wa zamani walizikwa na vijukuu vya kuwasindikiza je hii kitu ilikuwa ni kwa waafrica tu au na wazungu ilikuwaga hivyo? Ni story tu nauliza?
 
Tulisimuliwa kuwa wafalme / machifu/ watemi etc wa zamani walizikwa na vijukuu vya kuwasindikiza je hii kitu ilikuwa ni kwa waafrica tu au na wazungu ilikuwaga hivyo? Ni story tu nauliza?
Mmh sidhani kwa wazungu bali walizikwa na vito vyao vya thamani kama dhahabu na chakula na pia silaha zao
 
Back
Top Bottom