Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Hii ni kiboko, imetokea huko London kwenye mazishi

Mizimu
emoji1.png

Saxons hao
For sure nilikuwa sijui kuhusu hawa watu mpaka nikasoma, tho imenichanganya. Anyway.
Mizimu [emoji1]
Saxons hao
 
Hiyo ndio imetoka yaani saa moja na nusu usiku ndio ndugu tu walibaki kumzika

Unaweza kuona makaburi ya waliotangulia zamani hapo

Kitu cha ajabu watu hawajui ni kuwa mazishi ya Malkia kwa ridhaa yake Duke aliipanga maiti iagwe Westminster Abbey ambapo ni sehemu kubwa sana kwa watakaokuja kuaga
Na kuzikwa Windsor

Kwa hiyo sio maandalizi ya wiki wala miezi bali miaka 20

Sasa cha kujiuliza kwa nini wamemuacha Mume wake bila kumzika kwa zaidi ya mwaka?

Je yote haya DUKE anayajua?
Kuwa Malkia atazikwa na Mume wake
Wenzetu wako ahead of time
Hapo Westminster Abbey wamezikwa watu mashuhuri sana Kama Sir Isaac Newton na Charles Darwin na pia Professor Steven Hawkins ambae majivu yake yamewekwa hapo

panaitwa Scientists corner

Ila mambo yao ya ajabu sana ukifuata but very interesting
Kheee mumewe kumbe hakuzikwa na nataka nijue ule mwili kuzama pale shimoni unaenda wapi
 
Jana niliandika kuwa muda wa msiba ndo ilipaswa kufanyika mapinduzi kwa nyingi Afrika,, ikafutwa

Leo naombea chifu hangaya apate ile covid pro max bendera zipeperuke nusu mlingoti
 
View attachment 2361801
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu dhidi ya viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake.

👇🏾Na hapa chini Kuna mdau kaandika hivi;
Our leaders went to the UK and are being treated the way they treat us...

View attachment 2361812
Wadau wengi kwenye mitandao wanahoji why viongozi wetu wa kiafrika wafanyiwe hivi?.



UPDATE:
Kuna huyu jamaa mkenya naona anamaanisha zile tabia zetu za abilia tunapokuwa kwenye safari ndani ya mabasi yetu hapa Afrika.

View attachment 2361928
Huyu mut ako fit hawezi umwa hata kidogo anakula kila kitu napita bele yake!!n km angekuwa mtanzania afya mbovu mbofu anakufa kabisa!
 
Mama YETU MJANJA SANA KAWAHI KA- SEAT KA DIRISHANI KULEEE!! ILI AONE VIZURI NJE NA KUPUNGA KAUPEPO WA BAKIGIHAM PALACE!! HONGERA MAMA WEYE MJANJA! ...TUNAKUSUBIRI KWA HAMU UTUPE UBUYU! NA YALIYO JIRI!

WEE MZURI TU SI UNAONA HATA KWENYE TV LEO ASUBUHI WAMEKUONYESHA UMEPIGA MTANDIO WAKO SWAFIIII! DAA NIKAFURAHI SANA NIKIJA TANZANIA NITAKULETEA ZAWADI UNASIKIA MAMA EEEE!!
 
Kheee mumewe kumbe hakuzikwa na nataka nijue ule mwili kuzama pale shimoni unaenda wapi
Hakuzikwa alikuwa anasubiriwa Malkia afe
Mambo yao tuwaachie wao

Hili shimo nafikiri ndio linaenda kwenye Volt wanakuhifadhiwa kwanza na Mume wake ndio yumo humo

Waliaandaa zamani sana haya mnayoyaona sasa
 
Ndugu Black Sniper naomba anzisha mada uelezee kwa kinagaubaga kuhusu mazishi na mambo wanayofanya hao jamaa kwa hao marehemu wao.

Maana nimejaribu kusoma some replies zako na kugundua una kitu unakifahamu kuhusu huu msiba na hidden issues either kuwahusu malkia na mumewe or kwa mlolongo mzima wa mauti zao mpaka kuzimu huko.
 
Ndugu Black Sniper naomba anzisha mada uelezee kwa kinagaubaga kuhusu mazishi na mambo wanayofanya hao jamaa kwa hao marehemu wao.

Maana nimejaribu kusoma some replies zako na kugundua una kitu unakifahamu kuhusu huu msiba na hidden issues either kuwahusu malkia na mumewe or kwa mlolongo mzima wa mauti zao mpaka kuzimu huko.
Mkuu mimi niko huku na ninawafuatilia sana ila sijui kuandika thread nzima bali nitachangia kadri ninavyojua au kuwasoma kwa ukaribu na kupata mawili matatu kwa wazawa wa hapa
 
Mkuu mimi niko huku na ninawafuatilia sana ila sijui kuandika thread nzima bali nitachangia kadri ninavyojua au kuwasoma kwa ukaribu na kupata mawili matatu kwa wazawa wa hapa
Kulingana na unachokiona, nini maana yao wanapoweka mwili wa mumewe kwa muda mrefu kusuburi mkewe ili wazikwe pamoja na eneo lenyewe linaonekana ni watu wachache sana as ndg na kiongozi "kama wa kimila" kwa huko kwao ndiyo wanaruhusiwa tu?.
 
Kulingana na unachokiona, nini maana yao wanapoweka mwili wa mumewe kwa muda mrefu kusuburi mkewe ili wazikwe pamoja na eneo lenyewe linaonekana ni watu wachache sana as ndg na kiongozi "kama wa kimila" kwa huko kwao ndiyo wanaruhusiwa tu?.
Swali zuri
Mume wa Malkia hawezi kuzikwa bila Malkia kufariki huo ndio utaratibu maana Cheo cha Malkia ni kikubwa mno na mume hawezi kutangulia kuzikwa hasha

Kwa hiyo mzee alikuwa kawekwa kusubiri Malkia afe

Pia huwa hawazikwi kabisa kwani majeneza yao huwa yanaonekana juu tu kwenye Vault
Pia babu na bibi yake na Dada yake wamo humo pia baba na mama yake
Na Tomb zao huwezi kupiga hata x-rays kwani zimewekewa kitu kinachozuia( Lead)

Kuhusu mazishi huwa ni wana familia tu tena wachache sana waliokaribu sana
Hapo lazima kuna mambo yao pia wanayoyajua
 
Back
Top Bottom